FT: Young Africans SC 0 - 1 Azam FC | NBC Premier League | Azam Complex |02.11.2024

FT: Young Africans SC 0 - 1 Azam FC | NBC Premier League | Azam Complex |02.11.2024

Hiyo foul hawaangalii mstari kama offside inavyoangaliwa, kwa hiyo usijisumbue kuchora mstari. Hiyo foul kwa lugha ya soka inaitwa Professional Foul Last Man, kinachoangaliwa ni uwezekano wa beki mwingine kuja kuokoa baada ya beki mcheza faulo kupitwa. Kama kulikuwa na uwezekano wa Boka kuja kuokoa, isingekuwa red card, ila kama yuko mbali na asingeweza kuja kuokoa, basi inakuwa red card.
Tena ww umekuja mwenyewe, malamiko FC ile ya Dube siku ile ya Derby ilikiwa inaitwaje au sio "Professional Foul Last Man".?Halafu makalamika nyie.

Last Man unao angaliwa ni mstari na ndio maana hata James Samweli akasema sio kadi nyekundu,baada ya picha za marejeo.
Hiyo foul hawaangalii mstari kama offside inavyoangaliwa, kwa hiyo usijisumbue kuchora mstari. Hiyo foul kwa lugha ya soka inaitwa Professional Foul Last Man, kinachoangaliwa ni uwezekano wa beki mwingine kuja kuokoa baada ya beki mcheza faulo kupitwa. Kama kulikuwa na uwezekano wa Boka kuja kuokoa, isingekuwa red card, ila kama yuko mbali na asingeweza kuja kuokoa, basi inakuwa red card.
 
𝗪𝗲 𝘁𝗿𝗮𝗶𝗹 𝗮𝘁 𝗵𝗮𝗹𝗳-𝘁𝗶𝗺𝗲 🥵
🐸
 
⚽️ Young Africans SC🆚Azam FC
📆 02.11.2024
🏟 Azam Complex
🕖 12:00 Jioni
View attachment 3141026

Kikosi kinachoanza dhidi ya Azam FC
View attachment 3141586
Mpira umeanza
Dakika ya 3
Yanga SC wanashambulia kwa kasi

Dakika ya 5
Dube anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 14
Max anafanyiwa madhambi

Dakika ya 17
Aziz k anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 21
Baka kapewa nyekundu

Dakika ya 30
Yng 0-0 Azm

Dakika ya 31
Azam wanapata goli

Dakika ya 42
Max anakosa goli la wazi

Dakika ya 45+2
Ht

Leo mechi ngumu mno kwa Yanga!
 
Tafuteni Forward, mpaka muda huu Yanga hawana Forward inayojielewa.!

Mzize mtu wa Papatu Papatu....
Uzuri hata hasipo funga anaweza kucreate mtu afunge bila kusahau kusaidia kukaba, kwani Yanga viungo wetu wote wana uwezo wa kufunga.
 
Back
Top Bottom