FT: Young Africans SC 0 - 1 Azam FC | NBC Premier League | Azam Complex |02.11.2024

Tena ww umekuja mwenyewe, malamiko FC ile ya Dube siku ile ya Derby ilikiwa inaitwaje au sio "Professional Foul Last Man".?Halafu makalamika nyie.

Last Man unao angaliwa ni mstari na ndio maana hata James Samweli akasema sio kadi nyekundu,baada ya picha za marejeo.
 
𝗪𝗲 𝘁𝗿𝗮𝗶𝗹 𝗮𝘁 𝗵𝗮𝗹𝗳-𝘁𝗶𝗺𝗲 🥵
🐸
 

Leo mechi ngumu mno kwa Yanga!
 
Tafuteni Forward, mpaka muda huu Yanga hawana Forward inayojielewa.!

Mzize mtu wa Papatu Papatu....
Uzuri hata hasipo funga anaweza kucreate mtu afunge bila kusahau kusaidia kukaba, kwani Yanga viungo wetu wote wana uwezo wa kufunga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…