Halafu wanapenda kulialia sana! Hawana nidhamu na wana dharau sana.Wana timu basi?kikundi cha wahuni wanapiga tu mabuti,leo walipata kizunguzungu wale wazee,mpira ukipigwa mtu anaona inakuja miwili anakaba hewa mpira halisi unapita
Hawa jamaa hawajakutana na marefa serious,kungekuwa na marefa wenye msimamo kama Arajiga wasingekuwa hapo walipo kwenye msimamo,Mudhathir,Aucho,Baka,na Job sikuzote wanafanya fouls mbovu wanaachwa tu,kila mechi Mudhathir na Aucho wanacheza rafu wanaachwa. Wachezaji wengi wa Yanga walishaona wapo juu ya marefa hata Aziz K pia hana nidhamu.Halafu wanapenda kulialia sana! Hawana nidhamu na wana dharau sana.
Mfano yule Aucho na Bocca. Wanahisi refa hawezi kuwafanya chochote. Wanajihisi wako juu kuliko uhalisia.
Tusingekuwa pungufu tusingefungwaβ½οΈ Young Africans SCπAzam FC
π 02.11.2024
π Azam Complex
π 12:00 Jioni
View attachment 3141026
Kikosi kinachoanza dhidi ya Azam FC
View attachment 3141586
Mpira umeanza
Dakika ya 3
Yanga SC wanashambulia kwa kasi
Dakika ya 5
Dube anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 14
Max anafanyiwa madhambi
Dakika ya 17
Aziz k anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 21
Baka kapewa nyekundu
Dakika ya 30
Yng 0-0 Azm
Dakika ya 31
Azam wanapata goli
Dakika ya 42
Max anakosa goli la wazi
Dakika ya 45+2
HT
Dakika ya 52
Aziz k anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 58
Yanga wanafanya mashambulizi
Dakika 71
Anatoka Aziz k anaingia pacome
Dakika ya 87
Feisal kafanyiwa madhambi
Dakika ya 90+7
FT
Ukitaka kujua kimoja kinauma waulize mashujaaa."kama tusingekuwa pungufu tusingefungwa"
Kwani mlikuja watu uwanjani?
Ukitaka kujua kimoja kinauma waulize mashujaaa.
Eti Yanga hii unaifungajeee�Maamivu yake wameyatapa leo
Aliyesema hivo alisahau wamesajili wazee,walitembelea mikono leoEti Yanga hii unaifungajeee�
Unateswa na Mapenzi afu ukigeuka huku Unateswa na YANGA πππView attachment 3142014πππ
Utan huo sasaπππUkigeuka nyuma mwiko.
Ndio kauli yao mzee mwiko nyuma.Utan huo sasaπππ
πππππ½ββοΈππ½ββοΈNdio kauli yao mzee mwiko nyuma.
Wamepewa koni moja walambe Viongozi, wachezaji mpaka wanachama na mashabiki na imewatosha na kila nyuma mwiko anasikilizia utam.Unateswa na Mapenzi afu ukigeuka huku Unateswa na YANGA πππView attachment 3142014πππ
Yanga hii unaifungajeπππππππKuzoea yamezoeleka kwasababu ndio Uhalisia
Yanga ndio Bingwa hapa nchini, hili kuanzi Makolo mpaka Ihefu mnajua
ππππ Yanga hii unaifungaje?Wamepewa koni moja walambe Viongozi, wachezaji mpaka wanachama na mashabiki na imewatosha na kila nyuma mwiko anasikilizia utam.
Kama ni hivyo, hata Simba ilifungwa na timu mbovu yanga kagoli kamoja tena kwa walishinda kwa 'Kayoko kupenda'.Sawa kaka ndio mpira sijakataa kuna kufunga,kufungwa ama kusare.
Hata Arsenal amefungwa na timu mbovu new castle kwa kumuotea kigoli kimoja.
Ila hao Azam si tutarudiana nao!?
Ndio nitakwambia kwanini nilisema leo wameshinda kwa 'Mungu kapenda'.