Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Tumeshawaambia marefa timu lenu linauhuni mwingi wazingatie sheria sio hadi mtu avunjike mguu.Naona makolo wanapigapiga tu mpira bila formation yoyote. Kushinda kwao hii game kutatokana na refa tu.
Kila mtu anaona.
Ili kubalansi ndio akatoa red cardWe Arajiga wangekua Yanga ungewanyima penati?
Refa alikuwa sahihi. Baka alimvuta sehemu ambayo ambaye angekuwa mchezaji wa mwisho(Boka) asingeweza kumfikia kama asingemvuta.Tucheze mpira mwamuzi nae ni binadamu.
Ili kubalansi ndio akatoa red card
Jamaa kaona nora lawama kuliko fedhehaAlizuia goli
Ni sawa na mtu ambaye akaudaka mpira kwa makusudi kwenye shuti ambalo lilikuwa linaenda kufunga goli.
Mpe goodbye na good riddance Baka
Azam kuifunga Yanga mpaka figisu🤣Beki wa maana aliyebaki hapo ni job tu azam wakipeleka moto mwamnyeto nae kadi yake ipo njiani
Kaka hujaona hata marudio ya move na mtangazi akaongea?Refa alikuwa sahihi. Baka alimvuta sehemu ambayo ambaye angekuwa mchezaji wa mwisho(Boka) asingeweza kumfikia kama asingemvuta.
Goli la kwanza. SilaAzam wakizubaa wanaweza kupoteza mechi au kusare
Yani chambua uwezavyo ukiwa wa simba tu, hakuna kitu utakua umekosea🤣Refa alikuwa sahihi. Baka alimvuta sehemu ambayo ambaye angekuwa mchezaji wa mwisho(Boka) asingeweza kumfikia kama asingemvuta.