Pale alidhamiria kuua kipa la UtoGoaaaaal
Pale alidhamiria kuua kipa la UtoGoaaaaal
Kwani matokeo yamekuaje mkuu?Ok mkuu, ngoja ninyamaze.
Mkuu, sijakataa kuwa hakuwa mchezaji wa mwisho. Boka alikuwepo ila alikuwa mbali kuweza kumfikia.Daah haya endelea kushindana na kamera.....?
Ila nimekuuliza maana Dube alichezewa kama hivi, kesho mkaenda kulalamika mmeonewa.
PoleniTayari pengo la Baka limeshaanza kututafuna, WTF!
Red kadi imetolewa baka nje, halafu Yanga wapo nyuma kwa goli moja dk 38Kwani matokeo yamekuaje mkuu?
Nzuri sana hiyo roketiPale alidhamiria kuua kipa la Uto
Mchezaji wa mwisho wana angalia line.........Mkuu, sijakataa kuwa hakuwa mchezaji wa mwisho. Boka alikuwepo ila alikuwa mbali kuweza kumfikia.