FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

Wivu utakuua mdau!!
 
Yanga leo anashinda vizuri tu ingawaje mechi itakua na ushindani sana shavu la kushoto akiwepo Isaka Isaka na kulia Yao Yao kati Job na Baka kiungo ya chini Nzegeli na juu Aucho huko mbele weka Pacome, Dube na mwamba wa Lusaka hao jamaa hawatoki salama..zile assist za Chama lazima upate goli.
 
Ushindi kwa wananchi.
Mungu ibariki Yanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…