secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Kikao Cha kabla ya mechi kiliaziamia kuwa DUBE hata akiboronga hawezi kwenda benchi.Timu hii kuna kitu hakiko sawa pale kwenye timu yangu ya yanga. Sub mbili dk90 kweli jamani et? Alafu eti max anatoka anaingia musonda serious kabisa? Anatoka duke abuya eti anaingia chama kweli? Alitakiwa atoke prince na pacome ndo aingie (chama in pacome out, prince out msonda in ) lakn sub za kijinga kabisa.
Sana wewe unaonaje?Kwa hio mara ya 3 sasa ishakua kawaida?
Mechi ijayo itakuwa Mzize dayLeo ni Dube day
Teh teh teh 😃 😃 😃Huyu ameumia
BTW yanga 4
Wasudan wa Al hilal na wale wa Sudan ya msimbazi 0
Teh teh teh teh 😃 😃 😃Leo AL Hilal anapigwa 3 bila.
Msiseme sikuwaambia.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂yanga kuvanowe waiyo🤣 Yanga hii unaifungajee 😀😀
Yanga hii imefungwaje mechi tatu mfululizo? Ina maana hawajachoma sindano zao zileeee🤣🤣🤣🤣
Kweli ubaya ubwelaWale wa kubet Mpe Al Hilal ushindi na goli kuanzia 2
Madam mzuri nini tatizo mama😅😅😅Wachezaji wa Yanga, ngoja leo niwachane. Hasa nyinyi kina Azizi K, Pacôme na kampani yenu. Na huu ujumbe nitautuma kwa mtu awafikishie.
Tabia yenu ya kukesha Wavuvi pale, kuvuta mishisha. Mkija kiwanjani hoi, hapo bado hamjachoshwa na virembo vyenu.
Mmechoka kuchezea Yanga mtoke, mtuachie Yanga yetu. Walikuwepo kina Mayele na wengine, wakapita na Yanga ikabaki.
Na nyie mliomtoa Gamondi, acheni kusikiliza maneno, huyo kosa lake lilikuwa kuwaachia huru sana usiku.
Nabi popote ulipo, najua wewe ndiyo ulikuwa kocha haswa. Na niliumia sana ulipoondoka. Kunjua moyo mambo ni mdebwedo huku 😭😭😭😭
Uchawi huu....Haki ya Mungu yani hakuna raha naipata kama kumuona Dube anakosa magoli.
Ujanja kivipi ilhali Yanga ya Nabi ilikua tishio kuliko Yanga hii!?Walikuwa hawajapata huo ujanja
Alitakiwa atoke Dube, Aziz na Kibabage.Timu hii kuna kitu hakiko sawa pale kwenye timu yangu ya yanga. Sub mbili dk90 kweli jamani et? Alafu eti max anatoka anaingia musonda serious kabisa? Anatoka duke abuya eti anaingia chama kweli? Alitakiwa atoke prince na pacome ndo aingie (chama in pacome out, prince out msonda in ) lakn sub za kijinga kabisa.
Kati ya kocha tapeli na wale waliomleta tapeli nani tapeli?Mkuu vuta bangi sasa hivi , utagundua kocha wenu ni tapeli 😂😂😂😂😂