kekule benzene
JF-Expert Member
- Sep 28, 2016
- 1,444
- 3,576
Diara sio wa kulaumiwa, leo chuma zilikuwa zinafika hata 5, amepunguzaIfike muda sasa Diarra apumzishwe. Hee mnamchezesha mtoto wa watu, kama Bot!!!
Kwaherini, ngoja nipumzike kwanza. Maana nitawachamba hao kina Azizi K waone kwanza.
Diara sio wa kulaumiwa, leo chuma zilikuwa zinafika hata 5, amepunguza
Magoli yale ni ya mabeki, mabeki wa yanga wana tamaa ya kwenda kufunga, kwa kuwa maforward wao hawafungi
Pia kiujumla timu ishapoteana
Mkuu unaenda kuchanganyikiwa sasa😂😂😂vyovyote tu!
Hiyo timu (al hilal) inaongoza ligi huko ilipo sasaSasa mnafungwa na team ya nchi muda wowote kuna vita, je mkicheza na team nchi yao kuna amani itakuaje
Nonsense... FakeView attachment 3162378kocha wa yanga migul Gamondi kupitia X amewaonya wanayanga kuwa alifukuzwa kwa sababu sisizo eleweka ila ukweli utajulikana
USSR
Mpaka malaika waje!
Tulikuwa tunataka maku ya mamako hakuelewa tu!Na ndo walikuwa wanaitaka mamelod nyoko hawa😂😂😂😂
Uongo utakusaidia nini?View attachment 3162378kocha wa yanga migul Gamondi kupitia X amewaonya wanayanga kuwa alifukuzwa kwa sababu sisizo eleweka ila ukweli utajulikana
USSR
Ili iwe nini? Kama unamprnda sana mfuate. Klabu ni kubwa kuliko ntu… haya ndo hiwa maneno yenu leo mnajisahaulisha.Mtu mmoja anielekeze sababu za kumfukuza gamondi zilikua ni zipi
Sikua karibu na mitandao ya kijamii kwa muda
Waliibiana mademu ilikuaje aiseee?
I am curious what happened?
Acha waoze tu mkuu.Tunazika au tunasafirisha?