FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

1000194643.jpg
 
😂😂Hao wamanga Al hilal watu halali, Aliali😂😂😂
 
Mpumelelo jeuri yake kuondoka Azam tena kwa maneno ya shombo ya kuwachafua, Azam ni kama walimpa laana.

Gamondi naye baada ya kufukuzwa kienyeji kawaachia laana.

Ramovic naye waliyemleta huko alikotoka hakuondoka vizuri, Ts Galaxy wakampa laana kuwa atakuwa ni mtu wa vipigo kwenye safari yake huko aendako.

Timu nzima imesheheni watu wenye laana.
 
Timu hii kuna kitu hakiko sawa pale kwenye timu yangu ya yanga. Sub mbili dk90 kweli jamani et? Alafu eti max anatoka anaingia musonda serious kabisa? Anatoka duke abuya eti anaingia chama kweli? Alitakiwa atoke prince na pacome ndo aingie (chama in pacome out, prince out msonda in ) lakn sub za kijinga kabisa.

Pole mkuu, hii ni timu ya Malaika Kutokea Sudani....Hizi timu za Duniani hakuna inayoweza kuifunga Yanga.
 
Mpumelelo jeuri yake kuondoka Azam tena kwa maneno ya shombo ya kuwachafua, Azam ni kama walimpa laana.

Gamondi naye baada ya kufukuzwa kienyeji kawaachia laana.

Ramovic naye waliyemleta huko alikotoka hakuondoka vizuri, Ts Galaxy wakampa laana kuwa atakuwa ni mtu wa vipigo kwenye safari yake huko aendako.
Lucky Dube Hana tofauti na Manara aliinyea Sana Azam akiihusianisha na Simba. Kwa mchezaji WA Kimataifa hakupaswa kuyasema Yale angesepa kimya kimya🙄
 
Yanga wamekosa nafasi tisa, wageni wakakosa nafasi moja lakini wakafunga mabao 2. Ni aibu kweli kweli. Inakuwaje Yanga wanakosa mabao ya wazi kirahisi hivyo? Nafasi tisa ni nyingi sana. Inabidi niache ushabiki wa mpira kwani nitapata ugonmjwa wa moyo. Ndugu zango Kolo wamechinja mbuzi nao kusherehekea supu.
 
Yanga wamekosa nafasi tisa, wageni wakakosa nafasi moja lakini wakafunga mabao 2. Ni aibu kweli kweli. Inakuwaje Yanga wanakosa mabao ya wazi kirahisi hivyo? Nafasi tisa ni nyingi sana. Inabidi niache ushabiki wa mpira kwani nitapata ugonmjwa wa moyo. Ndugu zango Kolo wamechinja mbuzi nao kusherehekea supu.
Pole sana.
Kushabikia Simba au Yanga inahitaji moyo.
Umepoteza Mechi tatu tu presha juu.
 
Back
Top Bottom