GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukutane Next MatchBila Aucho? Wamekwishaaaa
Wenzako wanashukuru bora Aucho hayupo wamefungwa 2Bila Aucho? Wamekwishaaaa
Timu hii kuna kitu hakiko sawa pale kwenye timu yangu ya yanga. Sub mbili dk90 kweli jamani et? Alafu eti max anatoka anaingia musonda serious kabisa? Anatoka duke abuya eti anaingia chama kweli? Alitakiwa atoke prince na pacome ndo aingie (chama in pacome out, prince out msonda in ) lakn sub za kijinga kabisa.
PoleInasikitisha sana
Mwambie mama tunasubiria x yake.Poleni sana Yanga.
Lucky Dube Hana tofauti na Manara aliinyea Sana Azam akiihusianisha na Simba. Kwa mchezaji WA Kimataifa hakupaswa kuyasema Yale angesepa kimya kimya🙄Mpumelelo jeuri yake kuondoka Azam tena kwa maneno ya shombo ya kuwachafua, Azam ni kama walimpa laana.
Gamondi naye baada ya kufukuzwa kienyeji kawaachia laana.
Ramovic naye waliyemleta huko alikotoka hakuondoka vizuri, Ts Galaxy wakampa laana kuwa atakuwa ni mtu wa vipigo kwenye safari yake huko aendako.
Mkuu naona umechanganyikiwa hadi kiswahili kinakushinda.Chikola alizifunga game moja mkuu?? Au game ile uliangaliziwa?
Wajinga walipewa Script bila kujua kua wanatumikaLucky Dube Hana tofauti na Manara aliinyea Sana Azam akiihusianisha na Simba. Kwa mchezaji WA Kimataifa hakupaswa kuyasema Yale angesepa kimya kimya[emoji849]
Hersi leo hapokei simu ya mtu.Yanga tuna machungu mazito. Unafukuzaje kocha anayeleta matokea wakati wa mechi ngumu?
Yoyote mwenye namba ya Hersi tafadhali naomba.
Pole sana.Yanga wamekosa nafasi tisa, wageni wakakosa nafasi moja lakini wakafunga mabao 2. Ni aibu kweli kweli. Inakuwaje Yanga wanakosa mabao ya wazi kirahisi hivyo? Nafasi tisa ni nyingi sana. Inabidi niache ushabiki wa mpira kwani nitapata ugonmjwa wa moyo. Ndugu zango Kolo wamechinja mbuzi nao kusherehekea supu.
Hamjasema🤣🤣🤣🤣Safi sana
Daima nyuma mbele mwiko
Alaaniwe Hersi na genge lake la kihuni kutuharibia timu katikati ya msimu.