Dede 01
JF-Expert Member
- May 12, 2024
- 1,182
- 2,248
Sasa kwakina Al Hilal kusingekuwa na vita,Yanga wangefungwa ngapi?what wonderful day...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwakina Al Hilal kusingekuwa na vita,Yanga wangefungwa ngapi?what wonderful day...
Aandae mikaiAtume live location tuanze kusogea
Kweli uoga ni umasikini walahi.. 😁😁😁😁.🤣🤣🤣🤣🤣 We Uliogopa Mimi Niliweka Sina Masihala 🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 3162273
Hujaelewa hata nini nazungumzia.kwani kocha kawaambia wachezaji wasifunge?
Yanga Hii Mnaifungaje 🤣🤣Unacheka nini hapo?
HakikaIla hawa wasnge wanadharau sana
Mechi yetu ya kirafiki tuliocheza nao walimia na haikuwa na chochote wanacho gain.
Kuna muda walianza hadi kulala kupoteza muda mpaka nikajiuliza hawa majamaa hivi wanajua kuwa hii ni friendly match??
Angalia kinachotokea leo
Wakati wengi wakitazamia kuona Al Hilal anarudi nyuma na kuzuia kwasababu tayari amepata bao la kuongoza lakini bado vijana wanashambulia.
Wakati wengine tukiwaza pengine baada ya Al Hilal kupata bao la kuongoza tulitegemea kuona wakipoteza muda kwa kujilaza lakini hali imekuwa tofauti.
Jamaa wanapata nafasi ya wazi kufunga bao la pili lakini wanarudisha mpira nyuma.
Hizi ni dharau.
Tatu bombaSasa kwakina Al Hilal kusingekuwa na vita,Yanga wangefungwa ngapi?
kunakocha anaweza kuwaambia wachezaji wasifunge?Yanga ishatepeta majanga mfululizo wachezaji golini kule hawafungi wala nini sijui wameambiwa wasifunge
Ndio hajawahi ila hii game ilikua anamfunga kabisa.Yanga hajawai mfunga Al Hilal