kekule benzene
JF-Expert Member
- Sep 28, 2016
- 1,444
- 3,576
Mpira hauna hizo,Mshindwe wenyewe tu!! Madeama hata kwenye 30 bora za Afrika haimo!! Na mkiiangusha ni sawa na kusukuma mlevi, msidai sifa yoyote!!
Umemeza dawa za kutuliza kichwa?Yanga 5- 1 Madeama
mwasibu upo? leo atakushangaza.Mimi sitaki unaa. Utopolo wapigwe hata kamoja tu ka kiubavu-ubavu
MWASIBU MBONA UMEKIMBIA UZI WAKO?Umemeza dawa za kutuliza kichwa?
Mada asubuhi hivi,lazima Utopolo mchezee ukuni πMATCH DAY.
YANGA VS Medeama
β°οΈ 1600hrs
π Benjamin Mkapa Stadium.
π 20.12.2023
Mkuu yanga timu ya umitashumta unataka uiwekee hela,, au hiyo hela umeokota nnNina kama laki mbili inazagaa zagaa niwape Yanga washinde au ninywe beer tu?
Tension ipi wewe mdudu wa chooni?Leo lazima Yanga afungwe you know why ,Wana tension kubwa
Nimenunua Vivian na maji kubwaUmemeza dawa za kutuliza kichwa?