FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

Kuweni na Akiba.
Ukiona unatumia maneno ya kusema "kuweni na akiba" ujue mpaka hapo ushaingiwa na uoga

Unajua kwanini siku mlipopangwa na Rivers mlishangilia na bila kuja na maneno ya "akiba ya maneno"?

Ni kwasababu ulijua ni kibonde unamuweza
 
Kiko wapi sasa medeama ya mchongo ni Bora kuliko makolo
20231216_224337.jpg
 
Yaani hawa medeama ni wabovu kuliko hata huo ubovu wenyewe, hata kujilinda hawajui mwamnyeto anadribble mpira kuanzia kwake hadi kwenye lango la mpinzani, halafu kuna Matakle linakuambia simba kacheza na kibonde, sasa hawa wanaocheza na nyuma mwiko tuwaitaje, kimteremko au ?
Usione Yanga anafanya na wewe unajilinganisha nae, mwenyewe ulipigwa mkono ukatulia.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Bwana wee toka mwanzo hawa uto walipanga kupata point 6 kwa Madeama kwa sbb waliona wana wamudu...so kwao ni kibonde wao na timu yotee..ndo kibonde huyu...
Ongea taratibu, Belouizdad wakikusikia unawaita Belouizdad vibonde wanaweza kukupiga makofi
 
🤣🤣🤣 bila shaka umekubali.
Anhaa kumbe ulisema tatu eeh?

Aah ilikiwa simple sana kubashiri dhidi ya hawa wabovu

Vipi twende na utabiri huo huo na kwenue mechi ya Al Ahly?
 
Wewe naona umeanza Yale ya Ahmed Ally kua mtampiga Galaxy nje ndani...

Kama Yanga ana nafasi ngumu ya kufuzu basi Simba atakua Hana nafasi kabisa hata ya kusubiri kipengele cha magoli maana Nina uhakika Asec lazima awafunge...

Ina maana sehemu pekee ambayo walau mnaweza kuokoteza point ni Kwa Galaxy lakini Naye pia Katika rekodi zake alishawapasua Kwa mkapa hivo atakuja akiwa kifua mbele sio kinyonge lakini Yanga akimpiga CR B Goli tatu Maisha yatakua matamu tu
H2H ni criteria ya nne ina anza 1points, 2 goal difference, 3 goal scored then head to head someni kanuni
 
Mechi ya Al Ahly na Cr Belarouzidad ndio mechi ya maamuzi kwa Cr Belarouzidad.

Akishinda hiyo mechi basi hapo utakuwa umebadilishiwa mpinzani. Mpinzani hatokuwa Cr Belarouzidad tena hapo atakuwa ni Al Ahly.

Na kama tujuavyo sidhani kama Al Ahly ataruhusu kutolewa kwenye makundi.
Aisee,Hao Belarouzidad na Al Ahly hata wakitoa draw hali itakuwa tete kwa Yanga.
 
Back
Top Bottom