Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Wanajieleza sanaKuweni na Akiba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajieleza sanaKuweni na Akiba.
Heee! Eti aibu ya karne. Lol.
Chukua hii Matokeo ya leo FT 3 - 0. [emoji41]
Sasa mbona unajieleza sana kama ujaumiaMi sijaumia
Ningeumia kama mngevuka makundi
Ila ishu ya kushinda na kushika nafasi ya pili tena nafasi ya pili kwa temporary wala hainishtui.
Huko tunakokwenda ndio tutaona nani atayefurahi.
Ukiona unatumia maneno ya kusema "kuweni na akiba" ujue mpaka hapo ushaingiwa na uogaKuweni na Akiba.
Usione Yanga anafanya na wewe unajilinganisha nae, mwenyewe ulipigwa mkono ukatulia.Yaani hawa medeama ni wabovu kuliko hata huo ubovu wenyewe, hata kujilinda hawajui mwamnyeto anadribble mpira kuanzia kwake hadi kwenye lango la mpinzani, halafu kuna Matakle linakuambia simba kacheza na kibonde, sasa hawa wanaocheza na nyuma mwiko tuwaitaje, kimteremko au ?
Si tulishakubaliana club bingwa hakuna vibonde?Medeama kujilinda hawajui kushambulia ndo kivumbi leo, wangecheza na simba wangepigwa 7
Ongea taratibu, Belouizdad wakikusikia unawaita Belouizdad vibonde wanaweza kukupiga makofiBwana wee toka mwanzo hawa uto walipanga kupata point 6 kwa Madeama kwa sbb waliona wana wamudu...so kwao ni kibonde wao na timu yotee..ndo kibonde huyu...
Anhaa kumbe ulisema tatu eeh?🤣🤣🤣 bila shaka umekubali.
H2H ni criteria ya nne ina anza 1points, 2 goal difference, 3 goal scored then head to head someni kanuniWewe naona umeanza Yale ya Ahmed Ally kua mtampiga Galaxy nje ndani...
Kama Yanga ana nafasi ngumu ya kufuzu basi Simba atakua Hana nafasi kabisa hata ya kusubiri kipengele cha magoli maana Nina uhakika Asec lazima awafunge...
Ina maana sehemu pekee ambayo walau mnaweza kuokoteza point ni Kwa Galaxy lakini Naye pia Katika rekodi zake alishawapasua Kwa mkapa hivo atakuja akiwa kifua mbele sio kinyonge lakini Yanga akimpiga CR B Goli tatu Maisha yatakua matamu tu
Aisee,Hao Belarouzidad na Al Ahly hata wakitoa draw hali itakuwa tete kwa Yanga.Mechi ya Al Ahly na Cr Belarouzidad ndio mechi ya maamuzi kwa Cr Belarouzidad.
Akishinda hiyo mechi basi hapo utakuwa umebadilishiwa mpinzani. Mpinzani hatokuwa Cr Belarouzidad tena hapo atakuwa ni Al Ahly.
Na kama tujuavyo sidhani kama Al Ahly ataruhusu kutolewa kwenye makundi.
Kumbe yupo , jitu la CPAView attachment 2848292
Muhasibu muongo sana
Inakuaje tete kwa Yanga?Aisee,Hao Belarouzidad na Al Ahly hata wakitoa draw hali itakuwa tete kwa Yanga.
He he he he.Anhaa kumbe ulisema tatu eeh?
Aah ilikiwa simple sana kubashiri dhidi ya hawa wabovu
Vipi twende na utabiri huo huo na kwenue mechi ya Al Ahly?
Huyo domokaya tusha mzoea kila kitu anajuaH2H ni criteria ya nne ina anza 1points, 2 goal difference, 3 goal scored then head to head someni kanuni
🤣🤣🤣Sasa mbona unajieleza sana kama ujaumia
Ni wazito kwenu, hawa tunajipigia vizuri tu.CR Belouzidad ni wazito labda kwa home advantage mjitahidi sare
Baada ya hapo ni siuuuu
Sisi tunafuzu kwa points wala sio kusubiri flani amfunge flaniSasa mbona unajieleza sana kama ujaumia