Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Muimbaji taarabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hesabu za kihasibuHapa kwa inavyoonekana, Kundi B wanaoenda robo fainali ni Asec Mimosas na Simba, Na Kundi D wanaoenda robo fainali ni CR Belouizdad na Al Ahly
Al ahly atampasua CR B hata hatuna wasiwasi akija bongo Sisi kazi yetu itakua n kumzika Tu... Cairo wataenda kucheza kina Ngushi maana tutakua tushafuzu hivo kina Professor Pacomeeeeeeeeee watakua likizo wakijiandaa na Robo fainali...Yanga nafasi ya pili kwenye kundi akiwa chini ya Al Ahly (mtani wangu) wakiwa wamefungana point
Lakini mtani bado hajacheza mechi ya mzunguko wa pili kutokana na ubize wa World Cup.
Sasa kinachofanyika hapa kwa Yanga ni kuomba dua tu Cr Belarouzidad afungwe na Al Ahly ili
Ilitokea Cr Belarouzidad kamfunga Al Ahly maana yake Yanga atarudi kwenye nafasi ya 3 kama kundi lilivyaonza.
Ikitokea Cr Belarouzidad katoa sare yeyote bado vilevile Cr Belarouzidad atarudi nafasi ya pili na Yanga kushuka nafasi ya tatu.
Kwasababu Yanga na CR Belouzidad ndio wapo kwenye kinyang'anyiro cha nafasi ya pili hivyo fact ya kuamua nani akae katika nafasi hiyo ni kuangalia H2H walivyokutana.
Yanga mpaka sasa kafungwa bao 3 na CR Belouzidad hivyo nafasi ya kukaa namba mbili itaenda kwa Cr Belarouzidad.
Kwa hiyo ukiangalia kwa makini utaona Yanga yupo kwenye siti ambayo tayari ina mtu ila huyo mtu katoka kwenda msalani mara moja.
View attachment 2848285
Mimi mechi zote nime possess mpira na sina desturi ya kubaki basi msimu huu. Huyu sio kibonde karuhusu goli tatu,sasa aliye ruhusu goli tano tumwiteje........Ndo timu za wakubwa zinavyocheza..nyie si mmefunguka mmeona mnacheza na kibonde? Nenda sasa kichwa kichwa kwa Alhly mkafe kibudu....
Ni ukweli alichosemaMuimbaji taarabu
View attachment 2848300
Mtizamo wako.Tunakumbushana tu Makirikiri alipindua mbili bila kwa Mkapa na nafasi anayo kwenda robo.Hapa kwa inavyoonekana, Kundi B wanaoenda robo fainali ni Asec Mimosas na Simba, Na Kundi D wanaoenda robo fainali ni CR Belouizdad na Al Ahly
Nipo tayari kubet na wewe....Hapa kwa inavyoonekana, Kundi B wanaoenda robo fainali ni Asec Mimosas na Simba, Na Kundi D wanaoenda robo fainali ni CR Belouizdad na Al Ahly
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha wee, hebu amka utajikojolea bure.Al ahly atampasua CR B hata hatuna wasiwasi akija bongo Sisi kazi yetu itakua n kumzika Tu... Cairo wataenda kucheza kina Ngushi maana tutakua tushafuzu hivo kina Professor Pacomeeeeeeeeee watakua likizo wakijiandaa na Robo fainali...
Sasa tukija kwenye timu yako ukweli mchungu ni kua Asec lazima awafunge ili aongoze kundi hapo Hana masikhara kabisa maana anajua game ya mwisho Morocco itakua ngumu... Wydad atampasua Galaxy na game ya mwisho Asec atakua Hana interest nayo maana atakua tayari na point 13 hivo atamuacha Wydad ashinde wapite wote...
Kwa lugha rahisi usichokipenda ndicho kitakachotokea [emoji16][emoji28]
Rudia comment yangu utajifunza kitu...jifanyeni vichwa ngumuMimi mechi zote nime possess mpira na sina desturi ya kubaki basi msimu huu. Huyu sio kibonde karuhusu goli tatu,sasa aliye ruhusu goli tano tumwiteje........
Kipindi cha pili jana ilikuwa mabeki tisa mshambuliaji mmoja.
Week mbona ndogo 😂Tungepoteza mechi hii hakika tusingekunywa maji wiki hii
Unaijua Belozdad lakinii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nipo tayari kubet na wewe....
Asec na Wydad ndo watapita...
Huku Kwa Mabingwa Yanga na Al ahly ndo watapita...
Simba na Belouizdad mtaungana kutafuta timu za kushabikia robo fainali [emoji2957]
Robo ya tako lako labda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha wee, hebu amka utajikojolea bure.
Al ahly na belouzdad ndo wanaenda Robo.
Nijifunze kitu gani kwako, sikioni........Rudia comment yangu utajifunza kitu...jifanyeni vichwa ngumu
🤣Ni ukweli alichosema
Hesabu za kihasibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha wee, hebu amka utajikojolea bure.
Al ahly na belouzdad ndo wanaenda Robo.
Kazingua sana, mechi nzima kacheza hovyo ila nimeshangaa kamaliza dk zote.Huyu dogo atakuwa ametekwa na mashangingi ya mjini. Siyo bure.
Yeye kama naniUnaijua Belozdad lakinii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa enyewe kwako kwa mkapa anakupasua vizuri.
Ngoja kwanza usiparaze paraze maneno.Al ahly atampasua CR B hata hatuna wasiwasi akija bongo Sisi kazi yetu itakua n kumzika Tu... Cairo wataenda kucheza kina Ngushi maana tutakua tushafuzu hivo kina Professor Pacomeeeeeeeeee watakua likizo wakijiandaa na Robo fainali...
Sasa tukija kwenye timu yako ukweli mchungu ni kua Asec lazima awafunge ili aongoze kundi hapo Hana masikhara kabisa maana anajua game ya mwisho Morocco itakua ngumu... Wydad atampasua Galaxy na game ya mwisho Asec atakua Hana interest nayo maana atakua tayari na point 13 hivo atamuacha Wydad ashinde wapite wote...
Kwa lugha rahisi usichokipenda ndicho kitakachotokea [emoji16][emoji28]
🤣💚💛💚Nimetulia hapa mtani naenjoyyyy ushindi wa jana...
Angalau Taifa halijadhalilika leo..maana si kwa vibonde hawa..