Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaaa! Lol.
Hivi anayekimbia ndo anakuwaje Mtani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa! Lol.
We jamaa ,kigezo cha Goli Bora umekitoa wapi, hebu Weka hiyo kanuni ya Goli BoraNgoja kwanza usiparaze paraze maneno.
Fikiria Al Ahly atoe sare na CR Belouzidad kisha mechi yenu ya mwisho na Cr Belarouzidad mshinde.
Maana yake hapo utakuwa na point 8 na game ngumu ya mwisho ambayo ni Al Ahly akiwa kwake
Wakati huo Belarouzidad ana point 5 na game simple dhidi ya Medeama tena akiwa nyumbani.
Hapo maana yake mkifungwa na Al Ahly na Cr Belarouzidad kule akishinda atakuwa na point 8 kama zako.
Hapo ndio h2h itaamua.
Nani kafungwa goli nyingi mlipokutana ndio ishu ambayo itakuwa mezani
Sasa hapa ukiangalia ishu sio ushindi tu, ishu ni ushindi wa goli ngapi.
Ukimfunga Belouzidad goli 3 (kitu ambacho ni kigumu) bado pia hapo haikupi guarantee ya kupita kuna kigezo cha goli bora.
Lakini mimi kipengele kilikuwa ni Wydad tu waliobaki wote nakanyaga tena sio tu napita bali namaliza nikiwa naongoza kundi
Baadae watasema ni vibonde
Hakunaga mtu hapoWe jamaa ,kigezo cha Goli Bora umekitoa wapi, hebu Weka hiyo kanuni ya Goli Bora
Kwa nn umeruka kipengele cha goal difference
Kumbe Simba kuna wahasibu wengi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna mwanakolo anasema kuna criteria ya goal Bora pia inatazamwa, sijui kaipatia wapiH2H ni criteria ya nne ina anza 1points, 2 goal difference, 3 goal scored then head to head someni kanuni
Atakuja kutushinda kwa idadi ya magoli,point zikifanana,na sisi tukapoteza kwa Al AhlyInakuaje tete kwa Yanga?
vibonde kama wydadBaadae watasema ni vibonde
Kwa kweli Ni bure kabisaHakunaga mtu hapo
Hapana mkuu, criteria ya kwanza ni H2H katika mashindano ya CAF.H2H ni criteria ya nne ina anza 1points, 2 goal difference, 3 goal scored then head to head someni kanuni
Inatakiwa Al Ahly ashinde kwa Belouizdad zaidi ya hapo itamlazimu Yanga akamfunge Al Ahly kwaoAisee,Hao Belarouzidad na Al Ahly hata wakitoa draw hali itakuwa tete kwa Yanga.
Kasome kanuni usikariri mamboHapana mkuu, criteria ya kwanza ni H2H katika mashindano ya CAF.
Nimekuuliza au ndo tamaaSisi tunafuzu kwa points wala sio kusubiri flani amfunge flani
Ngoja kwanza.Lini utapata akili wewe? H2H ni criteria ya nne ujuaji mwingi akili kisodaView attachment 2848316
🤣🤣 si alikubonda huyu?
Ni muhuni tuKumbe yupo , jitu la CPA
Unajieleza sana embu tulia wewe na madeama nani ni BoraNgoja kwanza.
Katika sheria za CAF H2H ya magoli ni kipengele namba 3 sio nne kama hii yako ya uchochoroni inavyoonesha.
Pia idadi ya magoli yote uliyofunga kwa mzunguko ni kigezo cha mwishoni kabisa (namba 5) ikiwa hivyo vigezo tangulizi vimeshindwa kuamua
Kwa hiyo nakuwekea hapa sheria ikusaidie kabla ya kujifanya critic
Iwapo timu mbili zitatoshana idadi ya point basi hivi ndio vigezo vitavyoangaliwa kuamua nani apite nani abaki.
1. Idadi ya point zilizokusanywa baina ya hizo timu mbili zilipokutana
Ufafanuzi
Yanga alifungwa bao 3 na Cr Belarouzidad maana yake mechi hiyo Cr Belarouzidad alipata point 3
Halafu Yanga kama mechi yake na Cr Belarouzidad ya marudio akatoa sare basi hiyo tu itatosha kuamua Cr Belarouzidad apite
2. Utofauti wa goli bora lililofungwa baina ya hizo timu mbili zilipokutana.
Ufafanuzi
Ikitokea Yanga kashinda kwa penati dhidi ya Cr Belarouzidad na kule Algeria kulipatikana goli zuri maana yake safari ya Yanga inaishia hapo.
3. Idadi ya magoli ambayo hizo timu zilipata zikiwa away zilipokutana.
Ufafanuzi
Yani ikiwa Yanga atamfunga 10-1 Cr Belarouzidad basi Yanga atakuwa ameondolewa kwakua hakupata bao lolote ugenini.
Na hata ikitokea kuwa ameshinda kwa clean sheet basi idadi ya mabao itaangaliwa. Kama itaonekana Yanga kashinda goli above 3 atapita lakini below hatopita
Hii ndio sababu watu walikuwa wanajiuliza kwanini Benchika aweke mabeki saba. Sababu ilikuwa ndio hii kuwa Wydad wangepata bao halafu huko mbeleni tungefungana kwa point basi tungekuwa tumetolewa.
4. Ikiwa hayo yote ya juu hayatoamua kupitisha mshindi basi kigezo cha idadi ya magoli yote yaliyofungwa kwa jumla ya mechi zote za makundi kitaamua yupi wa kupita.
Ufafanuzi
Hapa sasa ni baada ya criteria namba 1,2,&3 kushindwa kuamua yani timu zote mbili zilingane kila kitu kwenye hizo criteria (kitu ambacho sio rahisi) ndio hapo kigezo cha kufunga mabao mengi kwa jumla ya mechi zote ndio kitazingatiwa.
Point 3 za kishindo kabisa😀😀 ilikua inaelekea 5G as usual tumewaonea huruma😀😀🏃♀️🤣🤣🤣 hongereni, point 3 muhimu
Usikubali kuingizwa chaka na Gongowazi mwenzakoHuyo domokaya tusha mzoea kila kitu anajua
Umeona tatizo la Gongowazi??Unajieleza sana embu tulia wewe na madeama nani ni Bora View attachment 2848370