FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

Ngoja kwanza usiparaze paraze maneno.

Fikiria Al Ahly atoe sare na CR Belouzidad kisha mechi yenu ya mwisho na Cr Belarouzidad mshinde.

Maana yake hapo utakuwa na point 8 na game ngumu ya mwisho ambayo ni Al Ahly akiwa kwake

Wakati huo Belarouzidad ana point 5 na game simple dhidi ya Medeama tena akiwa nyumbani.

Hapo maana yake mkifungwa na Al Ahly na Cr Belarouzidad kule akishinda atakuwa na point 8 kama zako.

Hapo ndio h2h itaamua.

Nani kafungwa goli nyingi mlipokutana ndio ishu ambayo itakuwa mezani

Sasa hapa ukiangalia ishu sio ushindi tu, ishu ni ushindi wa goli ngapi.

Ukimfunga Belouzidad goli 3 (kitu ambacho ni kigumu) bado pia hapo haikupi guarantee ya kupita kuna kigezo cha goli bora.

Lakini mimi kipengele kilikuwa ni Wydad tu waliobaki wote nakanyaga tena sio tu napita bali namaliza nikiwa naongoza kundi

Uwezekano wa Simba na Yanga kuishia nafasi ya 3 ni mkubwa sana, hivyo tunapotoa probability in our favour tukubali pia probability zinazotoa nafasi kwa timu zingine hata kama hatupendi. Sio unajisemea tu kuwa unakwenda kumfunga Asec utafikiri wewe ni Mungu.

Mimi nasema Yanga kupenya bado hakuna ujakika kwasababu kundi lao wote bado wana nafasi, hata hawa Medeama waliofungwa leo bado wana nafasi.

Pia kwa upande wa Simba japo wanazi wa Simba wanaamini kuwa tayari wanapenya lakini wanasahau kuwa mpira kuna muda huwa na matokeo katili sana ambapo unaweza kushangaa Simba akafungwa na Asec halafu Wydad akazinduka akashinda mechi zake hizo mbili na kufikisha point 9.
 
Ulichokipost mbona kinashahabiaa na anachosema changaule.

Au English ni tatizo mkuu?
Wewe ndio una tatizo soma vizuri kipengele number 20
IMG_20231220_192218.jpg
 
Ngoja kwanza.

Katika sheria za CAF H2H ya magoli ni kipengele namba 3 sio nne kama hii yako ya uchochoroni inavyoonesha.

Pia idadi ya magoli yote uliyofunga kwa mzunguko ni kigezo cha mwishoni kabisa (namba 5) ikiwa hivyo vigezo tangulizi vimeshindwa kuamua

Kwa hiyo nakuwekea hapa sheria ikusaidie kabla ya kujifanya critic

Iwapo timu mbili zitatoshana idadi ya point basi hivi ndio vigezo vitavyoangaliwa kuamua nani apite nani abaki.

1. Idadi ya point zilizokusanywa baina ya hizo timu mbili zilipokutana

Ufafanuzi

Yanga alifungwa bao 3 na Cr Belarouzidad maana yake mechi hiyo Cr Belarouzidad alipata point 3

Halafu Yanga kama mechi yake na Cr Belarouzidad ya marudio akatoa sare basi hiyo tu itatosha kuamua Cr Belarouzidad apite

2. Utofauti wa goli bora lililofungwa baina ya hizo timu mbili zilipokutana.

Ufafanuzi

Ikitokea Yanga kashinda kwa penati dhidi ya Cr Belarouzidad na kule Algeria kulipatikana goli zuri maana yake safari ya Yanga inaishia hapo.

3. Idadi ya magoli ambayo hizo timu zilipata zikiwa away zilipokutana.

Ufafanuzi

Yani ikiwa Yanga atamfunga 10-1 Cr Belarouzidad basi Yanga atakuwa ameondolewa kwakua hakupata bao lolote ugenini.

Na hata ikitokea kuwa ameshinda kwa clean sheet basi idadi ya mabao itaangaliwa. Kama itaonekana Yanga kashinda goli above 3 atapita lakini below hatopita

Hii ndio sababu watu walikuwa wanajiuliza kwanini Benchika aweke mabeki saba. Sababu ilikuwa ndio hii kuwa Wydad wangepata bao halafu huko mbeleni tungefungana kwa point basi tungekuwa tumetolewa.

4. Ikiwa hayo yote ya juu hayatoamua kupitisha mshindi basi kigezo cha idadi ya magoli yote yaliyofungwa kwa jumla ya mechi zote za makundi kitaamua yupi wa kupita.

Ufafanuzi

Hapa sasa ni baada ya criteria namba 1,2,&3 kushindwa kuamua yani timu zote mbili zilingane kila kitu kwenye hizo criteria (kitu ambacho sio rahisi) ndio hapo kigezo cha kufunga mabao mengi kwa jumla ya mechi zote ndio kitazingatiwa.
Yaani Yanga akilingana kila kitu na CR B halafu Yanga alishinda Goli 10-1 wakati yeye alifungwa Goli 3-0 Yanga atatolewa Kwa kanuni ya goli la ugenini!.. hivi unaijua vizuri kanuni ya goli ya ugenini???
 
Yaani Yanga akilingana kila kitu na CR B halafu Yanga alishinda Goli 10-1 wakati yeye alifungwa Goli 3-0 Yanga atatolewa Kwa kanuni ya goli la ugenini!.. hivi unaijua vizuri kanuni ya goli ya ugenini???
Kabisa anajieleza sana roho imemuuma sana
 
Uwezekano wa Simba na Yanga kuishia nafasi ya 3 ni mkubwa sana, hivyo tunapotoa probability in our favour tukubali pia probability zinazotoa nafasi kwa timu zingine hata kama hatupendi. Sio unajisemea tu kuwa unakwenda kumfunga Asec utafikiri wewe ni Mungu.

Mimi nasema Yanga kupenya bado hakuna ujakika kwasababu kundi lao wote bado wana nafasi, hata hawa Medeama waliofungwa leo bado wana nafasi.

Pia kwa upande wa Simba japo wanazi wa Simba wanaamini kuwa tayari wanapenya lakini wanasahau kuwa mpira kuna muda huwa na matokeo katili sana ambapo unaweza kushangaa Simba akafungwa na Asec halafu Wydad akazinduka akashinda mechi zake hizo mbili na kufikisha point 9.
Hatuamini kama tumepita ila matumaini ya kupita ni makubwa kulingana na upinzani wa game tunazoenda kuzi face.

Asec licha ya kwamba amepita lakini sitarajii kuwa mechi yao kule kwao itakuwa rahisi.

Kwasababu najua atahitaji point tatu ili kujiweka vizuri aongoze kundi kusidi kwenye robo apate mpinzani mwenye nafuu.

Lakini pamoja na hivyo kwa kuangalia mechi za Asec zote na jinsi alivyocheza hapa akiwa ndio kwanza anasaka nafasi ya kusonga mbele kuna mambo ambayo lazima tukubaliane.

Ile mechi ilikuwa ni yetu ila tulishindwa kwasababu ya matatizo yetu.

Mechi ya marudiano itakuwa kule Ivory Coast hata kama sio kushinda ila point moja bado sio mbaya.

Japo inawezekana hiyo point moja usiipate lakini kwa stats zetu tulivyokutana naiona nafasi ipo kwetu.
 
Hatuamini kama tumepita ila matumaini ya kupita ni makubwa kulingana na upinzani wa game tunazoenda kuzi face.

Asec licha ya kwamba amepita lakini sitarajii kuwa mechi yao kule kwao itakuwa rahisi.

Kwasababu najua atahitaji point tatu ili kujiweka vizuri aongoze kundi kusidi kwenye robo apate mpinzani mwenye nafuu.

Lakini pamoja na hivyo kwa kuangalia mechi za Asec zote na jinsi alivyocheza hapa akiwa ndio kwanza anasaka nafasi ya kusonga mbele kuna mambo ambayo lazima tukubaliane.

Ile mechi ilikuwa ni yetu ila tulishindwa kwasababu ya matatizo yetu.

Mechi ya marudiano itakuwa kule Ivory Coast hata kama sio kushinda ila point moja bado sio mbaya.

Japo inawezekana hiyo point moja usiipate lakini kwa stats zetu tulivyokutana naiona nafasi ipo kwetu.
Hesabu za kihasibu
 
Yaani Yanga akilingana kila kitu na CR B halafu Yanga alishinda Goli 10-1 wakati yeye alifungwa Goli 3-0 Yanga atatolewa Kwa kanuni ya goli la ugenini!.. hivi unaijua vizuri kanuni ya goli ya ugenini???

Kigezo hapo sio goli tu la ugenini

Kigezo ni idadi ya magoli yaliyofungwa ugenini mlipokutana.

Yanga hajafunga goli lolote ugenini walipokutana na Cr Belarouzidad

Kwa kigezo hicho Yanga akiruhusu bao lolote akiwa nyumbani maana yake ametolewa licha ya idadi ya magoli atayopata
 
Leo ilikuwa mechi ya mabingwa wa nchi zao. Simba na Wydad ni mabingwa wa nchi gani?
VITI MAALUM
Kama kigezo ni ubingwa mbona hata Zalan alikuwa bingwa

Yapo mataifa ambayo timu iliyopo nafasi ya 5 nafasi hiyo ikawa na hadi kubwa kuliko timu iliyokuwa bingwa kwenye nchi nyingine.
 
Back
Top Bottom