Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Unasema Medeama Wabovu wamefungwa 3 Lakini Kila Ukikumbuka ulikula chuma 5 unabaki unasonya tu.... MxiiiiiliEW..Sijui itakuwaje 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa kwa sie neutrals tunaombea mechi ya hao waarabu watoke draw ili kundi liwe tamu.Kazi iliyobaki moja tu, piga al ahly, piga cr then tulia.
INAWEZEKANA
Huyu sio kibonde ,walio ruhusu tano utawaitaje.Haya kunywa maji ushushie kibonde ulichokula kwa mkapa...
mliloga sanaUnasema Medeama Wabovu wamefungwa 3 Lakini Kila Ukikumbuka ulikula chuma 5 unabaki unasonya tu.... MxiiiiiliEW..Sijui itakuwaje 😂😂😂View attachment 2848411
Bado hujui mpiraHatuamini kama tumepita ila matumaini ya kupita ni makubwa kulingana na upinzani wa game tunazoenda kuzi face.
Asec licha ya kwamba amepita lakini sitarajii kuwa mechi yao kule kwao itakuwa rahisi.
Kwasababu najua atahitaji point tatu ili kujiweka vizuri aongoze kundi kusidi kwenye robo apate mpinzani mwenye nafuu.
Lakini pamoja na hivyo kwa kuangalia mechi za Asec zote na jinsi alivyocheza hapa akiwa ndio kwanza anasaka nafasi ya kusonga mbele kuna mambo ambayo lazima tukubaliane.
Ile mechi ilikuwa ni yetu ila tulishindwa kwasababu ya matatizo yetu.
Mechi ya marudiano itakuwa kule Ivory Coast hata kama sio kushinda ila point moja bado sio mbaya.
Japo inawezekana hiyo point moja usiipate lakini kwa stats zetu tulivyokutana naiona nafasi ipo kwetu.
Na wewe ungeloga kakamliloga sana
Ulikuwa unasema?Bora mtu ushabikie Makolo ujue moja kuliko ujinga huu wa Yanga..
maajabu haya.Kufungwa wamefungwa waghana ila wanaumia watoto wa kariakoo
Hapo kati huyo sio Aziz ni kibwengo 🤣Unasema Medeama Wabovu wamefungwa 3 Lakini Kila Ukikumbuka ulikula chuma 5 unabaki unasonya tu.... MxiiiiiliEW..Sijui itakuwaje 😂😂😂View attachment 2848411
Na ndo ukwelimliloga sana
tunataka kufunga hesabu saa nne asubuhi mkuu.Hapa kwa sie neutrals tunaombea mechi ya hao waarabu watoke draw ili kundi liwe tamu.
Na ukitoboa hizo game ni rahisi kutinga fainali.Ai
Aisee....ila game zilizobaki ni ngumu mzeya kazi kweli kweli
Huyu sio kibonde ,walio ruhusu tano utawaitaje.
Yaani acha kabisa!
Mganga wetu wa Pemba ana balaa sana mtaniHapo kati huyo sio Aziz ni kibwengo 🤣
5 za kunyunyuzia ulozi...Kolo linasema medeama wabovu kisa wamefungwa 3, limesahau lenyewe lilikula 5.