Nzagambaaa
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,135
- 1,826
Huwaga ni mgumu kuamini uchawi,ila upoooMisumari mkuu mpira wa bongo ujizatiti haswa.
Timu ina wachezaji 22 wanaotakiwa uwanjani ni 11 just imagine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwaga ni mgumu kuamini uchawi,ila upoooMisumari mkuu mpira wa bongo ujizatiti haswa.
Timu ina wachezaji 22 wanaotakiwa uwanjani ni 11 just imagine
Kwa timu gani nawewe ya kututambia?Wakishinda tutaweka wapi sura zetu[emoji2][emoji2][emoji2]
usiwaze ushirikinaMisumari mkuu mpira wa bongo ujizatiti haswa.
Timu ina wachezaji 22 wanaotakiwa uwanjani ni 11 just imagine
Nyie Uto hizi mambo za klabu bingwa Afrika mwachieni Simbahapana uwezo wetu huwa unaanzia moja na kuishia 5
5 ndo mwisho wetu
kama zitatolewa takwimu za kumiliki kabumbu kwa ligi ya mabingwa yanga anajua sanaMedeama walistahili kufungwa zaidi ya goli moja.
Walikuwa na makosa mengi sana ya wazi lakini bahati imekuwa kwao tu kwasababu wanaofika fika kule mbele ni kina Musonda, Kibabage na Max ambao wamekuwa na maamuzi mabovu ya mwisho
Hawa jamaa watarudi kwa. Kasi..mi bado nawaheshimu sana.
Mbona walijituma sana kipindi cha piliHawana mishahara mkuu🤪🤪msingewafunga jana!
Simba 2-0 WydadMkuu Samahani naomba Matokeo
nimeingia JF sasa hivi na Nipo Mbali na TV
Mimi na huu uzee wangu siwezi kukosa magoli ya wazi kama yale.Tulieni acheni papara..ww ungefunga?
Yasha pita hayo tuangalie ya mbeleYanga isingenyimwa goli lao la halali kule Ghana, mechi ya leo walikuwa wanasaka point ya 7.
Kocha alikuwa nani mkuu?
tusha mwachia sisi ilikuwa kushiriki tu makundi ila kabumbu tunalo piga linafanya tufikirie kuchukua ubingwa kabisaNyie Uto hizi mambo za klabu bingwa Afrika mwachieni Simba
Umetisha sana mnazi mwenzangu...Mimi na huu uzee wangu siwezi kukosa magoli ya wqzi kama wale.
Na kama huamini, waulize Maveterani wenzangu wa Korogwe Veterans, watakuambia kuhusu Babu mwenye miaka 70, anayefunga mpaka magoli ya tiktaka!! Unanichezea mimi wewe!! 😤
Bila shaka umeiacha na ile ya Aziz Ki shuti lake lilitoka nje sentimita chache golini. Ulihesabu na hiyo inakuwa nne.Clear chances mbili zingekuwa 3 Mpaka sasahivi .
kibabage ameshamweka benchi lomalisa
Ndio football hio kama uliangalia game ya jana Manchester city Vs Urawa ilikua zaidi ya hiiYanga ilistahili iwe inaongoza goli 3 mpaka sasa hivi, wamepoteza nafasi mpaka unashangaa