Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Mkuu me sio pro US, ila ukweli ni kuwa hawa jamaa wametuacha mbali sana.
Mtu ambaye ana mikono kwenye kila system ya hii dunia na bado hatetereki si wa kumchukulia poa. Ukiongelea UN na agencies zake zote, IMF, World bank, maswala ya world security nk kote huko unamzungumzia US.
Ngoja tuone,CHINA=NATO [emoji23][emoji23][emoji23]
China kashitukizwa vibaya mno, ndo kwanza kaanza kimbiza ndege, mavyuma yake Fujian, watu washajipanga toka mwaka janaAnga la Taiwan lipo chini ya US 3week before,mchina kaja kushtuka juzi tu [emoji1787]
Hio ndio maana inaitwa super power sio mchezo
Watu wapo makini na mambo yao
Mwanamke wa ShokaKitu ambacho naona watu hawakizungumzii ni ujasiri wa Nancy Pelosi, yaani pamoja na kuwa marine na air defence systems ziko standby kwa attack, bibie kakwea pipa bila hofu!! Interesting...
Ampige kwa kosa Gani? Sema huyo kiduku ndio ajichanganye kwa Kaka mkubwa uone!!Siku marekani akimpiga kiduku tuu nitaamini usurper power wake
ππ Wachina Wameanza Tena mikwara ya kufanya mazoezi Kama Yale ya NATO Kule baharini mkuu.Televisheni ya serikali ya China (CGTN) imesema kuanzia usiku huu WA jumanne,
Jeshi la China litafanya mazoezi ya kijeshi kuzunguka eneo la Taiwan[emoji16]View attachment 2312204
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila China kaaibika sanaChina lazima Afyate mkia kwasababu kakaye Russia anayemtegemea anachezea za uso kwann China asiwe mpole?
Mmarekani anataka aijue nguvu halisi ya mchina,kama alivyo mgundua mrusi kua hana lolote,na lengo ni kuwadhoofisha kiuchumi ili yeye aendelee kua super power [emoji95]
Haya mambo ni planned and organized kitambo [emoji95][emoji95][emoji95]
Mrusi kashatafutiwa furushi lake Ukraine anateseka nalo.Kwa lile Biti la China toka Ijumaa, na ukimya wa Biden nilijua hakika Nancy haendi.
Hadi jana usiku ndo niliamini Nancy anaenda.
Ila US mbabe sana, na inaonesha ashampima uwezo China kajua hawezi kitu
Kariakoo tutakuja kununua kadet 1 kwa tsh 100,000 hizi simu ndio zisingeshikikaMm nimeridhika sana na maamuzi ya CHINA kutulia(Kama ataendelea kutulia).
Naogopa sana vita vya CHINA na USA, vitatuathiri sana huku. Pale Kariakoo sijui itakuaje.
Msiba wa pili huo, andaa matangaMchina nifurahishe leo nina msiba wa Zawahiri
Hata pale Ukraine nina hakika US tatizo ni Biden muoga
Yawezekana inatangazwa keshoSafi sana Hayo ni Malipo ya kukataa kumpa Russia support waziwazi.
China Anatabia ya kinafiki sana. Inabidi Taiwan watangaze kabisa kuwa taifa huru
Ngoja tuone....[emoji16][emoji1][emoji1] Wachina Wameanza Tena mikwara ya kufanya mazoezi Kama Yale ya NATO Kule baharini mkuu.
Mkishindwa mnaanza kutukana watu[emoji16]Tim rainbow [emoji304] huwa mnafurahisha sana.
Sawa bibie ..bila shaka wewe ni antie wa pelosMlikuwa mna matarajio makubwa sana kwa Mchina, ni vizuri muelewe kuwa kwa sasa hakuna taifa la kuweza kumtishia US.
Huyu Kiduku hawezwi pigwa kirahisi sababu vita yake haiinufaishi US kwa chochote, ili Congress waidhinishe bajeti ya kupeleka jeshi vitani lazma ielezwe deep down US inanufaikaje.Siku marekani akimpiga kiduku tuu nitaamini usurper power wake
Check Mate broJust like playing a chess,the US hase make their move. Let's wait for China's turn.
Uko sahihi mkuu.Mrusi kashatafutiwa furushi lake Ukraine anateseka nalo.
Mchina nae anatafutiwa la kwake ateseke nalo asiwe na muda wa kujijenga
Vita vya siku hizi unapigwa kinyume nyume π
Marekani anataka hawa jamaa wawili china na Russia wakose muda wa kujijenga kiuchumi wawe bize kupambana na vinchi vidogo alafu yeye anaingia kwa nyuma kuvisupport kiteknologia na kijeshi,mpk waje kushtuka washakua nchi za kawaida wamefulia ππ
Tunaposimuliwa na mababu zetu waliotangulia maana ya super power ndio hii sasa leo tunashuhudia ππππ
Huezi kua superpower ukakaa kizembe,marekani anaendesha operation kibao duniani,jana kiongozi wa alqaeda wamemtumgua huko π€£π€£π€£π€£
Sisi tuendelee kulima sana π€£ π Philosophy ya hapa kazi tu,tungeteseka ila baadae tungekua na sisi ni ka super power EastAfrica ππ€£
Watu walihenya wakajipanga kitambo π₯