Fuatilia hapa LIVE route - radar ya ndege SPAR19 iliyombeba Speaker Nancy akielekea Taiwan

Huyo bibi angeshambuliwa kisiri ..ma sniper waliotayari kufa ..wamlenge shaba ya tako na mbususu na kichwa akufe kisirisiri bila madege ya kivita

Speaking as pro chawa
Hizi akili za kijinga sana, ulifikiri US hawajui aina ya ulinzi unaohitajika akiwa huko? Uwe unatumia akili hata kidogo.
 
Biti alipiga la nini? Angeakaa kimya ama kuruhusu Pelosi kutua kwa masharti fulani angejijengea heshima. Mengine haya ni aibu tu.
 
Kitu ambacho naona watu hawakizungumzii ni ujasiri wa Nancy Pelosi, yaani pamoja na kuwa marine na air defence systems ziko standby kwa attack, bibie kakwea pipa bila hofu!! Interesting...
Yeah ni ujasiri mkubwa sana na keshaingia kwenye vitabu vya historia kama bwana Achiduke wa Austria-Hungury alipouwawa na mjerumani kutoa three altimatum.
 
Biti alipiga la nini? Angeakaa kimya ama kuruhusu Pelosi kutua kwa masharti fulani angejijengea heshima. Mengine haya ni aibu tu.
Wewe mchina wa kariakoo ndo unaona ni aibu ..ila wachina wenyewe wanaona ni Jambo jema
 
Hata mimi ndilo swali nalojiuliza, kama hayana kazi kwanini wayatengeneze? Ni danganya toto kabisa.
US mchokonozi sana ila tunakoelekea ipo siku watatukaanga kwa vita ya nuclear
Yaani wameyatengeneza kwa woga wa mataifa mengine
Yaani kila mmoja alikuwa anamuogopa mwenzake ndio maana USA aliamua kulitumia moja kuonyesha kuwa ana silaha mbaya kuliko zote

Asilokuwa anajua ni kuwa na wenzake wanatengeneza ya kwao na akili zao

Sasa hawawezi kupigana kwani kila mmoja anayo
Sasa USA anazo 3,750 wakati Mrusi hesabu zake 5,977 halafu bado ana biological weapons na hizo ndio anatengeneza kama sisi tunavyokaanga karanga

Hawatathubutu hata siku moja kupigana wanaogopana na ndio utakuwa mwisho wa dunia

Kwa jinsi walivyo na plan za kuishi vizazi na vizazi ndio kabisa

They love life
 
Mzee unataka tufe njaa?
Hizi vita zitaturudisha wengine nyuma mazima.
 
Hivi kweli tuseme tu ukweli nchi yenye budget ya US dollar 700 billion kwa mwaka unaichukulia poa sana kijeshi. Ukitaka kujua kua jamaa ni wababe na Dunia Iko mikononi mwao angalia wote humu tunatumia kwenye jukwaa tunatumia jamii forum kwa sababu Kuna google. Ni watu tu tunauwelewa mdogo kuhusu US

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Hizi akili za kijinga sana, ulifikiri US hawajui aina ya ulinzi unaohitajika akiwa huko? Uwe unatumia akili hata kidogo.
Kwa hio kuna anti sniper 😁😁 we akili hauna kabisa ..unataka sema USA wamechukua vyumba hotel zote za karbu?😁 Acha kuwasifu hao hakuna kinachoshindikana
 
Super power wa mchongo πŸ˜‚.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…