🤣😂🤣😂Sisi tunateseka na vipuri na bei za mafuta hukuAcha tu. Teknolojia je? Tutaweza kulipia ya mmarekani na UK? Vipuli tutaweza nunua OG from Japan? Hapo ndipo TOYOTA nazo utasikia hizi gari hazinaga spare.
😁😁Ili kupunguza aibu alipue hata baruti majini humo auwe hata samaki ndio arudishe hayo machuma yake.
Ye USA apigane tu kesho China akiwa juu kiuchumi asitafute mchawiBasi ndio wataendelea kupapaswa makalio Kila kukicha [emoji1787]
Hapa ni sehemu ya kupiga Stori Tu ndugu ndiyo maana watu wanabishana Kwa hoja Tu....Na wewe rubbish unataka watu wapigane upate nini haswa ..hujui madhara ya vita wewe
Kwa hiyo unamuamini?China imesema kuanzia alhamis itafanya mazoezi ya kijeshi katika maeneo sita kuzungumza kisiwa Cha Taiwan
[emoji4][emoji116]
The #PLA will conduct military exercises and training activities including live-fire drills in six regions surrounding the island of #Taiwan from Thursday to Sunday according to Chinese media.
Harassment season is about to start......
#Taiwanchina
My take:
hata Russia nao walianza hivi hivi kimasiharaView attachment 2312203
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Acha kupangia watu mambo ya kufanya, wewe unayefatilia mambo ya nchi Nini kimekuleta kwenye huu Uzi, by the way unajua maana ya hobby? ,Kila mtu ashinde mechi zakeUnashindwa kufuatilia mambo ya nchi yako unakwenda kufuatilia safari ya Pelosi? Afu utafaidika nini? Hivi Wa-Tz mmelogwa na nani? Huu nao ni uzi wa kupandisha humu?
Humu nchini tutakimbiana 😃🤣😂🤣😂Sisi tunateseka na vipuri na bei za mafuta huku
Vita inaendeleaje baba J 😂😂😂😂
Unaleta mambo ya statistics mbele ya super power?🤣🤣Leta statistics zako. Stop crocodile tears.
Vipi bado umevaa kobas au umeivua😂Unashindwa kufuatilia mambo ya nchi yako unakwenda kufuatilia safari ya Pelosi? Afu utafaidika nini? Hivi Wa-Tz mmelogwa na nani? Huu nao ni uzi wa kupandisha humu?
Mmmh hatari hiyo😳Ilifika hadi over 1mil
CIA walishapanga hii safari muda mrefu, hivyo lazima kila kitu walishafikiriaHuyo bibi angeshambuliwa kisiri ..ma sniper waliotayari kufa ..wamlenge shaba ya tako na mbususu na kichwa akufe kisirisiri bila madege ya kivita
Speaking as pro chawa
Taiwan ndo alikuwa anatoa onyoOnyo la Nini Sasa wafanye action, yaani mtu mliyekuwa hamtaki aingie Taiwan ameshaingia then still wanatoa onyo
Unaleta mambo ya statistics mbele ya super power?[emoji1787][emoji1787]
Ina maana wewe unajua kuliko china waliojikalia kimya mpk sasa?
basi nenda ukawasaidie wachina huko [emoji1787][emoji1787],toka hapa jf uje utupe mrejesho
Hapo umeona kuna tusi ?Hapa ni sehemu ya kupiga Stori Tu ndugu ndiyo maana watu wanabishana Kwa hoja Tu....
Acha kuwa na moyo wa mdogo kiasi hiki kuna haja gani ya matusi? Kwa style hii utaweza kuhandle familia?
Kenge mamakobabako 👺Tulikua tunaongelea Russia-Ukraine naona umerudi tena China Kenge wewe