machina yatakata mauno kama tiara sana tu lakini hamna kitu yatafanyaChina imesema kuanzia alhamis itafanya mazoezi ya kijeshi katika maeneo sita kuzungumza kisiwa Cha Taiwan
[emoji4][emoji116]
The #PLA will conduct military exercises and training activities including live-fire drills in six regions surrounding the island of #Taiwan from Thursday to Sunday according to Chinese media.
Harassment season is about to start......
#Taiwanchina
My take:
hata Russia nao walianza hivi hivi kimasiharaView attachment 2312203
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchina janja janja nyingi huyoSuper power wa mchongo 😂.
Kuna watu kula kulala bure hawayajui hayo. Kazi yao kushabikia vita vitokee. Kwa vile anakula bure hawazi athari za vita.Mm nimeridhika sana na maamuzi ya CHINA kutulia(Kama ataendelea kutulia).
Naogopa sana vita vya CHINA na USA, vitatuathiri sana huku. Pale Kariakoo sijui itakuaje.
Ngoja nianze online totorial niunde missiles zangu hata hapa kiongozi akiongea uchwara natuma salamu aache au asitishe alichosema la sivyo nitatungua nyumba yake na waniogope mtu nisiejulikana mana naweza tungua kweliCIA walishapanga hii safari muda mrefu, hivyo lazima kila kitu walishafikiria
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaleta mambo ya statistics mbele ya super power?[emoji1787][emoji1787]
Ina maana wewe unajua kuliko china waliojikalia kimya mpk sasa?
basi nenda ukawasaidie wachina huko [emoji1787][emoji1787],toka hapa jf uje utupe mrejesho
Kumbe hili ni li shoga la sinzaHivi ndo wewe bobby barbosa shoga wa pale sinza palestina?? Kama sio wewe badilisha ID hiyo asee. Maana uyo jamaa ni maarufu sana pale sinza. Kama unafikir mimi nakuzingua nenda kaulizie utarudi kunishukuru, ila kama ni wewe hoyahoya[emoji23][emoji23]
Kuna watu kula kulala bure hawayajui hayo. Kazi yao kushabikia vita vitokee. Kwa vile anakula bure hawazi athari za vita.
Hii vita ikitokea sisi ni washirika wa moja kwa moja maana tunaagaiza vitu vingi sana vyenye id made in China. Tank za Vyoo tu watu watapangisha nyumba self zenye vyoo vya shimo ndani.Kuna watu kula kulala bure hawayajui hayo. Kazi yao kushabikia vita vitokee. Kwa vile anakula bure hawazi athari za vita.
majeshi ya china yanakata mauno kama tiara na machuma yao chakavu yamemsindikiza Nancy mpaka Taiwan na maneno yao yote yale bora wangekaa kimya tu wangeonekana wa maana wamekuwa wapole mbele ya jike Nancy je andeenda BidenHuyo bibi yako hawezi leta vita watu wakafa kwa ajili ya mtu ambae possibility ya kuishi miaka 5 hana kwa 30%
Busara ..najua wapumbavu wengi wanataka china ifanye jambo ..niko upande wa china pia sioni umuhimu wa vita ..kujishusha maisha yakaendelea sio mbaya ..ila huyo US mwambie akamege ardhi china ndo utajua
Toa point zako,nae atoe zake mbishane kwa hoja,hata wengine tukisoma comments zenu tunapata kitu,mnatukanana ili iweje sasa 👺Kumbe hili ni li shoga la sinza
China ni sawa na mandongaHawa wachina kumbe ni wangese wangese hivi [emoji16][emoji16]
Kmmk [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha mbona kama hauna furaha mkuu?
Pole mkuu, leo utalala na viatuMchina nifurahishe leo nina msiba wa Zawahiri
Kwani sikila siku mnawasifia Kwa pamoja leo imekuaje tena?Wacheze kote ila sio pale hata wao hawawezi kufanya huo ujinga. Russia sio China
Ndugu Mtanzania mpe kichwa cha habari mengine atamalizia mwenyeweJf kiboko, hi issue mbona vyombo vikubwa kama CNN, BBC, AlJAZEERA sioni wakiipa airtime kiivyo
KabisaUsimfananishe Russia na China mzee. China waoga aseee
Marekani walishatoa tahadhari mapema tangu juzi kwamba PLA watafanya provocation kama za kurusha Makombora,ndege,nk. Inaonekana intelligence ya USA iko makini sanaChina imesema kuanzia alhamis itafanya mazoezi ya kijeshi katika maeneo sita kuzungumza kisiwa Cha Taiwan
[emoji4][emoji116]
The #PLA will conduct military exercises and training activities including live-fire drills in six regions surrounding the island of #Taiwan from Thursday to Sunday according to Chinese media.
Harassment season is about to start......
#Taiwanchina
My take:
hata Russia nao walianza hivi hivi kimasiharaView attachment 2312203
Sent using Jamii Forums mobile app