kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
Kwani si bado nusu saa tu ndege inatua hapo 😆😆,hafanyi lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani si bado nusu saa tu ndege inatua hapo 😆😆,hafanyi lolote
Unataka ufwatilie rais akizindua kiwonder? Au matundu ya vyoo?Unashindwa kufuatilia mambo ya nchi yako unakwenda kufuatilia safari ya Pelosi? Afu utafaidika nini? Hivi Wa-Tz mmelogwa na nani? Huu nao ni uzi wa kupandisha humu?
Mikwara ya mandongaMambo Ni Moto,
Wachina nao hawajakaa kizembe[emoji4]View attachment 2312048
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili jukwaa ni kwajili ya kujadili habari za kimataifa sometimes jitahidi kuficha ujinga ni aibu kuandika kitu usichokijuaUnashindwa kufuatilia mambo ya nchi yako unakwenda kufuatilia safari ya Pelosi? Afu utafaidika nini? Hivi Wa-Tz mmelogwa na nani? Huu nao ni uzi wa kupandisha humu?
Tuna hangaika na mapenzi tu 🤣
Mchepuko wako anasemaje kwa hilo🥺🥺🥺🥺🥺🥺😁😎🤓😁😁?
Ni kunyanduana na kuhanzuka tu, hata hatujui kiendeleacho duniani 😂😂Tuna hangaika na mapenzi tu 🤣
Sisi hatuwezi kuzuia wasipigane, na nimesema hivyo kwa sababu dunia imekuwa ya tension huyu anamtisha huyu, huyu anamtisha yule na at some point lazima watadundana ili power balance iwepo.jamaa mmoja kabla ya urusi kuvamia ukraie nlimuuliza unajua madhara ya vita? akafoka kweli waache kumchukulia putin kiboya, nkamuuliza tena unajua madhara ya vita lakini? wakipigana kule umejipanga?....
Sisi hatuwezi kuzuia wasipigane, na nimesema hivyo kwa sababu dunia imekuwa ya tension huyu anamtisha huyu, huyu anamtisha yule na at some point lazima watadundana ili power balance iwepo...
Ngoja tuone[emoji4]Kwani si bado nusu saa tu ndege inatua hapo [emoji38][emoji38],hafanyi lolote
Ha ha ha....[emoji4]Mchepuko wako anasemaje kwa hilo[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji16][emoji41][emoji851][emoji16][emoji16]?
Mambo Ni Moto,BREAKING [emoji1239] : Pelosi's Plane Enters #Taiwan's Air Defense Zone
[emoji3532]The #SPAR19 aircraft carrying
#NancyPelosi enters Taiwan's
air defense zone
#China #US https://t.co/CMPDApqh9O
Umecheka nini mkuu? Haya kuwa na simu njema.
Ni mambo ya mmarekani na mchina tu huko.Ni kunyanduana na kuhanzuka tu, hata hatujui kiendeleacho duniani 😂😂
Basi mtu atuambie in brief jamani…
Marekani kashamdhoofisha mrusi,sasa hivi anamtafuta mchina.Anaandika ramzan kadyrov
" In 15 minutes, we'll see who the "great power" is: the US or China.
We don't talk about ourselves"View attachment 2312020
Sent using Jamii Forums mobile app
Oi! kwanini unaacha kufuatilia maisha yako badala yake unaenda kufuatilia watu wanaandika nini mitandaoni na kupangiana maisha?Unashindwa kufuatilia mambo ya nchi yako unakwenda kufuatilia safari ya Pelosi? Afu utafaidika nini? Hivi Wa-Tz mmelogwa na nani? Huu nao ni uzi wa kupandisha humu?
[emoji2][emoji2] wakikubali mpaka anatua hadi anaondoka itakuwa dharau kubwa sana kwa China