Zamani niliamini hakuna mbabe kama Mrusi ila kadri mambo navyozidi kuyaona, hakika hakuna mbabe kama US.Hii ndio USA ninayoijua na kuikubali mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamani niliamini hakuna mbabe kama Mrusi ila kadri mambo navyozidi kuyaona, hakika hakuna mbabe kama US.Hii ndio USA ninayoijua na kuikubali mimi
Ndege inafuatiliwa mpk system ina jam 🤣Leo ndio leo msema kesho mchawi,
Zaidi ya watu laki tano wanaiouatilia roupe/safari ya Pelosi kuelekea Taiwan ambapo China imekemea vikalh hatua hiyo kwa kurusha ndege za kivita kuizunguka Taiwan huku U.S.A nao wakisogeza meli na manuari zao...
Endelea kukaa nyuma tuMacho madogo msituangushe .
Sisi wa china kutoka kimara bonyokwa tuko nyuma yenu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unataka ufwatilie rais akizindua kiwonder? Au matundu ya vyoo?
USA wamebarikiwa sana sio kawaida. Huwezi kuwa top wa Dunia kwa muda mrefu kiasi hiki huku kila leo unapigana vita visivyoisha. Jamaa wamepigana vita vingi mno yaani maisha yao kila siku ni vita na wenyewe wanajua.Zamani niliamini hakuna mbabe kama Mrusi ila kadri mambo navyozidi kuyaona, hakika hakuna mbabe kama US.
Muue [emoji28] qHili jukwaa ni kwajili ya kujadili habari za kimataifa sometimes jitahidi kuficha ujinga ni aibu kuandika kitu usichokijua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka ufwatilie rais akizindua kiwonder? Au matundu ya vyoo?
Amna mkuu, chukulia kawaida tu.Na Mimi nitawaona Ni mafaller sana.
Maandamano ni kitu Cha kawaida ila lazima peros afike TaiwanWataiwan washaanza maandamano huko,
Hawataki ugeni wa kuwaletea maafa Kama Yale ya UKRAINE.
Wameizingira hotel aliyotarajia kufikia pelosi[emoji4]View attachment 2312081
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] kudadek hawa Us nawachukia balaa wamemuua babu madevu bila sababu alf wanatoka hadharani kujisifia angefanya mrusii Dunia ingelaani
Halafu atawaachia statement hii 'This is America'Pelosi atakuwepo hapo na atapaa tena kurudi USA bila fyoko fyoko yoyote toka kwa China kama alivyoahidi.
Nimeona aisee wanapaswa wakiamshe Leo LeoChina wameshutdown presidential websites za taiwan.
Ubabe mbele ya ubabe.
Vita gani vingi amepigana USA? na matokeo yake yakawaje?USA wamebarikiwa sana sio kawaida. Huwezi kuwa top wa Dunia kwa muda mrefu kiasi hiki huku kila leo unapigana vita visivyoisha. Jamaa wamepigana vita vingi mno yaani maisha yao kila siku ni vita na wenyewe wanajua.
Wamejipambanua wenyewe wanajiita mambo yao 'This is America' nawakubali sana hawataki unyonge
Hivi vitendea kazi haviwezi kuwa vya mchina