system hacker
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 426
- 709
Leta source. Wapige waache ndongaChina wameshutdown presidential websites za taiwan.
Ubabe mbele ya ubabe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leta source. Wapige waache ndongaChina wameshutdown presidential websites za taiwan.
Ubabe mbele ya ubabe.
Hii sio siku ya kukupa darasa. Do your researchVita gani vingi amepigana USA? na matokeo yake yakawaje?
FOX NEWS.Leta source. Wapige waache ndonga
AiseeAcha tuone ikifutika tu mkuu,watakaosikitikia Hilo Ni wale wakuu wa mikoa walioteuliwa jana.
Tawireeeeeeeee
😄😄 Na iwe hivyo mkuu.Aisee
Huenda tutakuwa wa mwisho kufa
Maana watamalizana wao kwanza ingawa tutapishana masaa tu
Kitu ambacho naona watu hawakizungumzii ni ujasiri wa Nancy Pelosi, yaani pamoja na kuwa marine na air defence systems ziko standby kwa attack, bibie kakwea pipa bila hofu!! Interesting...
Bila shaka hicho kibibi hakipo kwenye hiyo ndege.Kitu ambacho naona watu hawakizungumzii ni ujasiri wa Nancy Pelosi, yaani pamoja na kuwa marine na air defence systems ziko standby kwa attack, bibie kakwea pipa bila hofu!! Interesting...
Jamaa anataka kukiwasha kama Mrusi!Alarm za air defense zishapiga uko,
Ndege za China zinazengea zengea anga la Taiwan[emoji4]View attachment 2312119
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mbibi keshajikatia tamaa ya maisha,Kitu ambacho naona watu hawakizungumzii ni ujasiri wa Nancy Pelosi, yaani pamoja na kuwa marine na air defence systems ziko standby kwa attack, bibie kakwea pipa bila hofu!! Interesting...
Mi mwnyw nahs hiyo convoy Ni bosheni TU. Keshafaulishwa tayar in mid air.Bila shaka hicho kibibi hakipo kwenye hiyo ndege.
Too risky.
Naona wako serious,Jamaa anataka kukiwasha kama Mrusi!
Hakuna wa kumtikisa huyu mwanaume. Jamaa ni mwamba haswa, kuanguka kwake sio leo wala kesho, na sio kuangushwa na hawa watu uchwara akina China na Putin.USA wamebarikiwa sana sio kawaida. Huwezi kuwa top wa Dunia kwa muda mrefu kiasi hiki huku kila leo unapigana vita visivyoisha. Jamaa wamepigana vita vingi mno yaani maisha yao kila siku ni vita na wenyewe wanajua.
Wamejipambanua wenyewe wanajiita mambo yao 'This is America' nawakubali sana hawataki unyonge
Kibibi cha miaka 82 full ujasiri dadadeki.....acha tuKitu ambacho naona watu hawakizungumzii ni ujasiri wa Nancy Pelosi, yaani pamoja na kuwa marine na air defence systems ziko standby kwa attack, bibie kakwea pipa bila hofu!! Interesting...
Wasiwasi wa nini wakati anajua Taifa lake ni kubwa kiulinzi, kiteknologia na kiuchumi.Kitu ambacho naona watu hawakizungumzii ni ujasiri wa Nancy Pelosi, yaani pamoja na kuwa marine na air defence systems ziko standby kwa attack, bibie kakwea pipa bila hofu!! Interesting...