Fuatilia hapa LIVE route - radar ya ndege SPAR19 iliyombeba Speaker Nancy akielekea Taiwan

Fuatilia hapa LIVE route - radar ya ndege SPAR19 iliyombeba Speaker Nancy akielekea Taiwan

Alarm za air defense zishapiga uko,
Ndege za China zinazengea zengea anga la Taiwan[emoji4]
Screenshot_20220802-174024.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu ambacho naona watu hawakizungumzii ni ujasiri wa Nancy Pelosi, yaani pamoja na kuwa marine na air defence systems ziko standby kwa attack, bibie kakwea pipa bila hofu!! Interesting...
Bila shaka hicho kibibi hakipo kwenye hiyo ndege.
Too risky.
 
Kitu ambacho naona watu hawakizungumzii ni ujasiri wa Nancy Pelosi, yaani pamoja na kuwa marine na air defence systems ziko standby kwa attack, bibie kakwea pipa bila hofu!! Interesting...
Huyu mbibi keshajikatia tamaa ya maisha,
Sema sio mbaya, miaka 82 hata Kama ningekua Mimi. Sio mbaya nikifa kishujaa[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USA wamebarikiwa sana sio kawaida. Huwezi kuwa top wa Dunia kwa muda mrefu kiasi hiki huku kila leo unapigana vita visivyoisha. Jamaa wamepigana vita vingi mno yaani maisha yao kila siku ni vita na wenyewe wanajua.

Wamejipambanua wenyewe wanajiita mambo yao 'This is America' nawakubali sana hawataki unyonge
Hakuna wa kumtikisa huyu mwanaume. Jamaa ni mwamba haswa, kuanguka kwake sio leo wala kesho, na sio kuangushwa na hawa watu uchwara akina China na Putin.
 
Kitu ambacho naona watu hawakizungumzii ni ujasiri wa Nancy Pelosi, yaani pamoja na kuwa marine na air defence systems ziko standby kwa attack, bibie kakwea pipa bila hofu!! Interesting...
Wasiwasi wa nini wakati anajua Taifa lake ni kubwa kiulinzi, kiteknologia na kiuchumi.
😆😆

Vitu kama hivi vipo planned long time ago
 
Back
Top Bottom