Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee hizo Meli ni za Marekani sio mchina naona naiona Nimitz aircraft carrier hapo
US ni moto mwingine hapa duniani. CIA ni mziki mwingine kabisaaaa.Pelosi atakuwepo hapo na atapaa tena kurudi USA bila fyoko fyoko yoyote toka kwa China kama alivyoahidi.
Ndege ipo anga la Taiwan inashukaBila shaka hicho kibibi hakipo kwenye hiyo ndege.
Too risky.
Na hakuna wa kumfanya kituNa kameshatua tayari
Hahahahhahahahaa tulia mkuuJamani jamani china tafadhali msituangushe tutaziweka wapi sura zetu sisi [emoji22][emoji22][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ha haa ha mpaka severs zina slow down. Nadhani hii flight itakua imevunk record kwa kufuatiliwa zaidi
Safi sana, asitutoe kwenye lengo.Hii sio siku ya kukupa darasa. Do your research
Inawezekana pia kwamba pengine ametumia flight tofauti na hii ambayo iko pulic reported na pia iko tracked mitandaoni ili kumpoteza mchina maboya in case wako serious ku-attack.Bila shaka hicho kibibi hakipo kwenye hiyo ndege.
Too risky.
Hii sio siku ya kukupa darasa. Do your research
Sema china akikaa kimya pia itaashiria ana busara, vita vinahitaji mipangoChina akiufyata atajishushia Sana heshima,
Ukzingatia tangu juz anasafirisha convoy za kutosha za kivita pwani inayotizamana na taiwan
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣 tutafute nguvu za kiuchumi tu,ukiwa dhaifu duniani utateseka sana 🤣Ha haa ha mpaka severs zina slow down. Nadhani hii flight itakua imevunk record kwa kufuatiliwa zaidi
Nnamini atakayetoka kwny ndege hatokua pelosi, pelosi hawez kua kwny ile ndege[emoji16]Kashatua