The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
- Thread starter
- #121
SU 25 bombers zinaelekea Taiwan muda huu
f15,16,35 zinaelekea Taiwan pia
Kutokea wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SU 25 bombers zinaelekea Taiwan muda huu
f15,16,35 zinaelekea Taiwan pia
Hamna busara yoyote,Sema china akikaa kimya pia itaashiria ana busara, vita vinahitaji mipango
Au kinataka kijiue kwa syle ya ujasiriKibibi cha miaka 82 full ujasiri dadadeki.....acha tu
Hapa ndo Dunia itajua kua mchina kila kitu chake Ni feki, Hadi mkwara anakupiga mkwara feki[emoji4]Mchina kaufyata[emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji28][emoji28][emoji28]Hamna busara yoyote,
Angekua na busara asingepiga mkwara mkubwa mpk kuhamisha vikosi,ndege na meli kibao
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah,yaani Yale ma Donfeng ni midoli tu,😆😆 mchina ni mchina tu🤣🤣🤣Ametua na hakuna kitu China inafanya
WoyooooooSU 25 bombers zinaelekea Taiwan muda huu
f15,16,35 zinaelekea Taiwan pia
ChinaKutokea wapi
Ni yeye mkuu,ipo live aljaezeraNnamini atakayetoka kwny ndege hatokua pelosi, pelosi hawez kua kwny ile ndege[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ni kawaida, kikubwa tuone mkwara wa China kama utafanya kazi.Wataiwan washaanza maandamano huko,
Hawataki ugeni wa kuwaletea maafa Kama Yale ya UKRAINE.
Wameizingira hotel aliyotarajia kufikia pelosi[emoji4]View attachment 2312081
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema kabibi kana roho ngumu kaleNnamini atakayetoka kwny ndege hatokua pelosi, pelosi hawez kua kwny ile ndege[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mbona kama hauna furaha mkuu?Daah nafatilia kwa karibu
Ameamua kujitoa sadaka kwa ajili ya nchi yake; huo ni ushujaaAu kinataka kijiue kwa syle ya ujasiri