Naona umechafukwa, ulitamani akiwasheHawa wachina kumbe ni wangese wangese hivi [emoji16][emoji16]
Kmmk [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watarudi drawing board kujiuliza kwanini wamedharaurika kiasi hiki.China waliiambia Marekani eti usichezee moto. Miaka ya tisini na 2k wachhina walikuwa wanajikomba sana ili kwanza kupewa MFN status kuruhusu bidhaa za china kuingia Marekani, halafu kupatiwa kiti kwenye WTO. Baada ya kupata wamekuwa na kiburi hata cha kuiambia Marekani kwamba "don't play with fire." Sasa ngoja tuone hiyo fire yenyewe kama ni ya gesi au ni ya kuni mbichi..
Kama hana lolote aingie ukraiane, aache kufanya mazoezi na Nato wenzie miezi 10 mfululizo. Aingie vitani ukraiane, hapo ndipo tutamuona kweli ni super powerMmarekani anataka aijue nguvu halisi ya mchina,kama alivyo mgundua mrusi kua hana lolote,na lengo ni kuwadhoofisha kiuchumi ili yeye aendelee kua super power [emoji95]
Haya mambo ni planned and organized kitambo [emoji95][emoji95][emoji95]
Kwetu tulifundishwa kuwa debe tupu haliacha kutika. Tabia kama hii ya kutishia tishia na kupiga makelele mengi ndiyo aliyo nayo Putin pia. Mara utamsikia tutatumia silaha za Nyuklia, mara tutumia mabomu ya hypersonic , maadui wetu wa Magharibi inabidi wafikirie mara mbili kabla ya kuingia mgogoro wa Ukraine kumbe ni kelele tu: HIMARS zimepelekwa Ukraine na kazi inajulikana. Sasa china naye amekuwa na kelele nyingi za vitisho vitisho vitisho hasa miaka ya hivi karibuni.Watarudi drawing board kujiuliza kwanini wamedharaurika kiasi hiki.
Dunia ilitegemea amgomee US ila kashindwa, angeweza lazima vimbwa koko vingefuata tu.
Labda hakuwa na planning
Eboo 🤣🤣🤣🤣Kama hana lolote aingie ukraiane, aache kufanya mazoezi na Nato wenzie miezi 10 mfululizo. Aingie vitani ukraiane, hapo ndipo tutamuona kweli ni super power
Sioni hata la muhimu, vita vya Ukraine navyo vingeisha tu biashara ya mafuta iwe stable.Kama hana lolote aingie ukraiane, aache kufanya mazoezi na Nato wenzie miezi 10 mfululizo. Aingie vitani ukraiane, hapo ndipo tutamuona kweli ni super power
leo pro russia tunepatikana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usijali mkuu leo usiku kuchaaa mchina atakuwa anapiga baruti huku wanajeshi wa china wakikata mauno feni angalau nyie pro china msikie milio nafsi zenu zisuuzike.
Rais wa China🇨🇳 ana akili na busara sana
Kwani hayupo?...sema Ukraine alikuwa na kihere here cha kukataa kujiunga NATO ndo kilimponza.....Kama hana lolote aingie ukraiane, aache kufanya mazoezi na Nato wenzie miezi 10 mfululizo. Aingie vitani ukraiane, hapo ndipo tutamuona kweli ni super power
Vifaa kapeleka na viongozi kadhaa wameenda Putin kafanya nini?Kama hana lolote aingie ukraiane, aache kufanya mazoezi na Nato wenzie miezi 10 mfululizo. Aingie vitani ukraiane, hapo ndipo tutamuona kweli ni super power
Kwani hayupo?...sema Ukraine alikuwa na kihere here cha kukataa kujiunga NATO ndo kilimponzaKama hana lolote aingie ukraiane, aache kufanya mazoezi na Nato wenzie miezi 10 mfululizo. Aingie vitani ukraiane, hapo ndipo tutamuona kweli ni super power
Unashindwa kufuatilia mambo ya nchi yako unakwenda kufuatilia safari ya Pelosi? Afu utafaidika nini? Hivi Wa-Tz mmelogwa na nani? Huu nao ni uzi wa kupandisha humu?
Hata Ukraine iliambiwa kuwa itavamiwa, wakadhani uongo ikatokeaMarekani walishatoa tahadhari mapema tangu juzi kwamba PLA watafanya provocation kama za kurusha Makombora,ndege,nk. Inaonekana intelligence ya USA iko makini sana
13000 hiyo ni official report yatakuwa zaidi ya hayo yamefichwa.Duniani kuna Nuclear Warheads 13,080 na nchi ni nyingi ambazo zina nuclear
Sasa kila mmoja akituma yake hakuna atakaebaki
Wanasema viumbe wote hadi mimea tutakufa isipokuwa Mende tu
Propaganda za kuwapa matumaini ya nuwongo raia wao na kudanganya dunia na ndiyo silaha yao kubwa ili wabake madarakani. Hii ni tabia ya kawaida kwa nchi ambazo hazibadili viongozi, au uongozi haushindaniniwi.Wajamaa Hawa wakikomonisti huwa wanabiti Sana na propaganda
leo pro russia tunepatikana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]