Hapa mchina atakaa kimya tu maana akikiwasha ngoma inachezewa kwake na sio kwa mmarekani. Hapa mchina atulie tu akikohoa ana bomolewa vzr sana. Na kauchumi kake katashushwa mbaya mbovu. Ila AmericaWatarudi drawing board kujiuliza kwanini wamedharaurika kiasi hiki.
Dunia ilitegemea amgomee US ila kashindwa, angeweza lazima vimbwa koko vingefuata tu.
Labda hakuwa na planning
This is near rubish. hawa wachina wamemuingiza cha kike Putin, Matairi waliyompa kwenye magari yaliyokuwa yakielekea Kyiv yakaishia Bucha yalishindwa kuhimili yakawa yanapasuka hovyo. nadhani Putin anawamind sana saa hizi hawa jamaa.
Fact, bado siku haijaisha huku upande wangu, but US wataingia gharama kubwa kutatua huu mzozokitu kilichotokea leo ni kitu cha hatari sana, kama kuna kitu kimezuia vita leo basi ni mkono wa Mungu pekee.
Mmarekani choko anatafuta mnyonge china anamuonea hawezi kujaribu kumsumbua russia atapita na marinda ya gaymarekaniKama hana lolote aingie ukraiane, aache kufanya mazoezi na Nato wenzie miezi 10 mfululizo. Aingie vitani ukraiane, hapo ndipo tutamuona kweli ni super power
Hahahahaha nimechekaaaaAnza na hioView attachment 2312328
Losses zitakuwapo pande zote, ila mi nadhani huu ni mchezo wa kutengeneza WASHIRIKA. Katika hii show ya leo confidence ya washirika potential wa China itakuwa imeshushwa vibaya sana.Fact, bado siku haijaisha huku upande wangu, but US wataingia gharama kubwa kutatua huu mzozo
Mtu anajua mpaka kesho yako, unafkiri unapambana nae vipi?Marekani walishatoa tahadhari mapema tangu juzi kwamba PLA watafanya provocation kama za kurusha Makombora,ndege,nk. Inaonekana intelligence ya USA iko makini sana
Punguza hasira maana China haijawahi pigana vitaMchina Qma mmae zako.umeniangusha Sana we mla popo.
Hakuna ambacho China angefanya, yeye alijaribu tishia, mwenzake hakuogopa hata kidogokitu kilichotokea leo ni kitu cha hatari sana, kama kuna kitu kimezuia vita leo basi ni mkono wa Mungu pekee.
Unajipatia moyo sanasoon tutajua aina ya mawasiliano yaliyokuwapo kati ya majeshi ya Marekani na Majeshi ya China wakati wote wa safari ya huyu mama toka anaondoka USA kuelekea huko Asia.
Kumbe yupo? Katika asilimia zaidi ya 25 ya eneo la Ukraine lilinyang'anywa na urusi, nini role ya US pale Ukraine? Kumbuka Ukraine anasaidiwa na zaidi ya nchi 35 za Nato.Kwani hayupo?...sema Ukraine alikuwa na kihere here cha kukataa kujiunga NATO ndo kilimponza
Kumbuka Russia alikuwa amebakiza 10km to kiev.....leo hii amebakiza km ngapi baada ya USA kuingiza siraha?Kumbe yupo? Katika asilimia zaidi ya 25 ya eneo la Ukraine lilinyang'anywa na urusi, nini role ya US pale Ukraine? Kumbuka Ukraine anasaidiwa na zaidi ya nchi 35 za Nato.
Busara gani zaidi ya uumbwa koko kuficha mkia makalionAll in all, Leo tumeona Busara ya China. ila sasa waiche Taiwani ifanye mambo yake.
Ndo Busara zenyewe hizo.Busara gani zaidi ya uumbwa koko kuficha mkia makalion
Kama ni mtanzania anayekaa America?Unashindwa kufuatilia mambo ya nchi yako unakwenda kufuatilia safari ya Pelosi? Afu utafaidika nini? Hivi Wa-Tz mmelogwa na nani? Huu nao ni uzi wa kupandisha humu?