ThugMaster
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 1,594
- 2,234
Interesting!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2]swali gumu hiliKumbuka Russia alikuwa amebakiza 10km to kiev.....leo hii amebakiza km ngapi baada ya USA kuingiza siraha
Wachina wa kwa mtogole wanakwambia USA ilishindwa Vietnam.Urusi huo mziki kauvagaa, hiyo vita haiishi leo west mpaka wahikikishe rusia ameishiwa materials za kutengeneza siraha halafu wanatinga Kremlin kwenda kumnyakuwa huyo chizi.
Vita bado vipo sn na Russia kashajazwa
Kati ya mitego ambayo China aliwekewa na kaikwepa huu ndio ulikuwa mkubwa, mungu wake kamsaidia Leo maana China ingekuwa kama Vietnam
Usicheze na Moto wa usa.
TaipeiKombora limelia wapi?
China imesema kuanzia alhamis itafanya mazoezi ya kijeshi katika maeneo sita kuzungumza kisiwa Cha Taiwan
[emoji4][emoji116]
The #PLA will conduct military exercises and training activities including live-fire drills in six regions surrounding the island of #Taiwan from Thursday to Sunday according to Chinese media.
Harassment season is about to start......
#Taiwanchina
My take:
hata Russia nao walianza hivi hivi kimasiharaView attachment 2312203
Sent using Jamii
Mnatoaga wapi kuvimbisha mashavu kama walwvi wa Rombo kisa kutetea wanaume wenzenu?wala nyoka leo wametulaza unono tunakosa ata cha kuongea umu ndani
Teh teh teh leo mnazungumzia busara hanzungumzii nguvu za China kwa Marekani?Sema china akikaa kimya pia itaashiria ana busara, vita vinahitaji mipango
Labda zile Magufuli za kuhesabu samaki wote ziwani na bahariniNachoamini china kuna hesabu anapiga
Hawa washenzi, wanafanya leo tufharaulike kabisa, ila nini yenu iko njiani, this won't go unpunished, trust meTeh teh teh leo mnazungumzia busara hanzungumzii nguvu za China kwa Marekani?
Leo ndio umegundua hilo?bado swahiba wako Bwana UtamTunaichukia tu marekani aisee lakini ile nchi kijeshii ni habari nyinginee
Teh teh..imeandikwa vipofu wawili hawawezi kuongozanaSafi sana Hayo ni Malipo ya kukataa kumpa Russia support waziwazi.
China Anatabia ya kinafiki sana. Inabidi Taiwan watangaze kabisa kuwa taifa huru
Sasa siungese huoMaana walipeleka anti aircrafts,
walipeleka APCs,
walipeleka Hypersonic Missile launchers, walipeleka amphibius tanks
Walipeleka meli vita
Walifanya live drills
Fujian ikajazwa silaha
Mwisho wameishia peleka ndege zao ADIZ tu bila kurusha hata risasi
True saying [emoji419]Tulikosea sana china kumuweka pamoja na Russia na USA china siyo superpower ni mwehu tu kwa dharau aliyofanyiwa leo atokuja kuisahau watu walikuwa wanamtegemea kumbe amna kitu afadhali ata ya mandonga alirusha japo ngumi lakin china ajarusha ata jiwe
Unafikiri huu mfano ulioleta ndio utawaondolea aibu na maumivu nyie pro China?Mchina amekua hana tofauti na NATO,wkt Russia inaivamia Ukraine jamaa wa NATO walikua wanafanya mazoezi,mpk leo Russia anampiga Ukraine bado tu NATO wanafanya mazoezi.
jamaa mmoja kabla ya urusi kuvamia ukraie nlimuuliza unajua madhara ya vita? akafoka kweli waache kumchukulia putin kiboya, nkamuuliza tena unajua madhara ya vita lakini? wakipigana kule umejipanga?
- ni kama aliniona sina akili maaana alidhan hayawezi kumfikia, saaahv naona amepaki tu gari yake inaenda route za muhimu tu
Mnaanza kuhamisha magoli sasa,huyo kiduku anaishi kwa pumzi ya mchina.Siku marekani akimpiga kiduku tuu nitaamini usurper power wake