Fuatilia hapa LIVE route - radar ya ndege SPAR19 iliyombeba Speaker Nancy akielekea Taiwan

Wachina wa kwa mtogole wanakwambia USA ilishindwa Vietnam.
 

Haha ba J huu ni mfupa kwako wewe pambana na mama J wako usikofurukuta😆😆😆
 
Sasa siungese huo
 
Mchina amekua hana tofauti na NATO,wkt Russia inaivamia Ukraine jamaa wa NATO walikua wanafanya mazoezi,mpk leo Russia anampiga Ukraine bado tu NATO wanafanya mazoezi.
Unafikiri huu mfano ulioleta ndio utawaondolea aibu na maumivu nyie pro China?
 
Ale alipopeleka mboga
 
Uchina imefungisha,haina mpango wala nini! 😇
Nalog off  Z
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…