100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
ππHii ni aibu ya karne
Ila nna iman Kwasababu kaingia usiku, vitu vitalindima kuanzia usiku wa manane[emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati mwingine ujasiri unaweza kuwa ujinga. Kwa mfano China angeriakti tofauti hapo hiyo vita ingekuwa imesababishwa na Pelosi.Kitu ambacho naona watu hawakizungumzii ni ujasiri wa Nancy Pelosi, yaani pamoja na kuwa marine na air defence systems ziko standby kwa attack, bibie kakwea pipa bila hofu!! Interesting...
Mlikuwa mna matarajio makubwa sana kwa Mchina, ni vizuri muelewe kuwa kwa sasa hakuna taifa la kuweza kumtishia US.Ndege ya pelosi ndo inaingia Taiwan hivyo!
Mchina Sijui anakwama wapi[emoji848]View attachment 2312129
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kavaa barakoa, afu Ni usikuDah ni yeye aisee
Wabongo Wanafikiri vita ni kwenda kariakoo na kurudiMama yupo Taiwan,dunia ina wenyewe hii πππView attachment 2312164
Hawa jamaa watapiga hela Sana leo hela ambayo hawajawahi kupiga .
Sasa alipayuka ya nini kutishia eti hiyo ziara ni kucheza na moto?Sema china akikaa kimya pia itaashiria ana busara, vita vinahitaji mipango
Pro China katuangusha vibaya mno[emoji16][emoji23][emoji23]
Nimeamini US ni mume wa China.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aibu ya karne hii...
Umri wa kufa umekaribia, hata wewe ukifikisha 80 hutoogopa tena kifo.. maana muda wowote utaitwa na mkuu aliye juu.Kitu ambacho naona watu hawakizungumzii ni ujasiri wa Nancy Pelosi, yaani pamoja na kuwa marine na air defence systems ziko standby kwa attack, bibie kakwea pipa bila hofu!! Interesting...
Hiyo barakoa na hiki kigizaMama yupo Taiwan,dunia ina wenyewe hii [emoji38][emoji38][emoji38]View attachment 2312164
Hata ningekuwa mimi 82.
Hapana mkuu ni yeye, huyo mama ni wa tatu kwa ukubwa nchini US, ni mtu mkubwa mno, China isingeweza.Kama kavaa barakoa, afu Ni usiku
Ujue tumepigwa, Ni double wake uyo.
Michezo ya CIA hiyo[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mkuu una moyo na wachina na bado hutoamini mpaka kukuche uone kaondoka salama huenda ndo utaamini kuwa kweli mchina ni mandonga tu.
Zile zilikua propaganda tu,ukiwa muoga kweli huendi ila kwa kua US ni mbabe na hizo anajua propaganda zinavochezwa haogopiSasa alipayuka ya nini kutishia eti hiyo ziara ni kucheza na moto?
Labda kwa waarabu na waafrika tu.US ni moto mwingine hapa duniani. CIA ni mziki mwingine kabisaaaa.