Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Miamala inaenda mpaka ikulu, wanakula pamoja hivyo lazima walindane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SalamaHabari
Samia siyo jpm wa kukurupuka. Haendi na hearsays. Mahakama zipo kuverify siyo rais siyo kazi yake. Samia ana busara na hekima. Siyo kila shutuma ni ya kweli mengine ni uzushi tu. Kwa nini mpina hajaenda mahalamani, unajua kwa nini? Anaogopa mana hana ushahidiKichwa cha habari kimejieleza, kuna jambo lipo nyuma ya pazia HUSSEIN BASHE VS MWIGULU kwanini wanalindwa na Ikulu.
Tulitegemea mpaka sasa Bashe ameondolewa na Mwigulu tupaze sauti kukataa hawa wezi wa taifa.
Mbona mpiga shoo ya kulawiti hakusubiri mahakama?? Mbona ya Gekul hakusubiri mahakama? Undezi nao ni mzigo sanaSamia siyo jpm wa kukurupuka. Haendi na hearsays. Mahakama zipo kuverify siyo rais siyo kazi yake. Samia ana busara na hekima. Siyo kila shutuma ni ya kweli mengine ni uzushi tu. Kwa nini mpina hajaenda mahalamani, unajua kwa nini? Anaogopa mana hana ushahidi
Kipimo Cha busara kinaenda na matendo.Samia siyo jpm wa kukurupuka. Haendi na hearsays. Mahakama zipo kuverify siyo rais siyo kazi yake. Samia ana busara na hekima. Siyo kila shutuma ni ya kweli mengine ni uzushi tu. Kwa nini mpina hajaenda mahalamani, unajua kwa nini? Anaogopa mana hana ushahidi
Kumbe ndo wewe mtetea waombeaji wa utajiri bila kufanya kazi.Samia siyo jpm wa kukurupuka. Haendi na hearsays. Mahakama zipo kuverify siyo rais siyo kazi yake. Samia ana busara na hekima. Siyo kila shutuma ni ya kweli mengine ni uzushi tu. Kwa nini mpina hajaenda mahalamani, unajua kwa nini? Anaogopa mana hana ushahidi
Or both ili isionekane serikal iko upande wa mtuMpina amemkalia kooni, lakini naona spika anamkingia kifua kimtindo kwa kumtaka mpina awajibike kwenye kamati ya maadili.
Mwisho kabisa kuna mawili yatatokea ambayo ni Mpina kusimamishwa kushiriki bungeni kwa muda kadhaa ama Bashe atajiuzulu
Kwa gekul ni madeleka ndo kapeleka kesi mahakamani. Na we jitolee upeleke mahakamaniMbona mpiga shoo ya kulawiti hakusubiri mahakama?? Mbona ya Gekul hakusubiri mahakama? Undezi nao ni mzigo sana
Samia mwenyewe akiona hii coment yako atakudharau sana.Samia siyo jpm wa kukurupuka. Haendi na hearsays. Mahakama zipo kuverify siyo rais siyo kazi yake. Samia ana busara na hekima. Siyo kila shutuma ni ya kweli mengine ni uzushi tu. Kwa nini mpina hajaenda mahalamani, unajua kwa nini? Anaogopa mana hana ushahidi
Nazungumzia kumtoa mtu kwenye madaraka ya uwaziri. Alisubiri mahakama kuamua?? Mbona unajibu kama HAMNAZO!! (Utakuwa shabiki wa yanga wewe) utani tu watani zangu yangaKwa gekul ni madeleka ndo kapeleka kesi mahakamani. Na we jitolee upeleke mahakamani
Leta risit ya mauzo. Hiyo ndo journalism ambayo samia alikuwa anakemea leo. Watanzani mmekuwa fake journalists. Nani kakwambia samia aliuza bandari? Leta risit au agreement za mauzo.Kipimo Cha busara kinaenda na matendo.
Mtu anae uza bandari, Misitu, n k atatoa wapi hizo busara na kushighulika na fisadi?
Hadi wewe unatamka haya...?Kwa kweli bashe na spika wake wapewe ile adhabu ya udhifu wapigwe mawe mpaka wauwawe!
Amtoe kwa sababu gani. Shutuma za uongo ndo zimtoe uwaziri. Samia hayuko hivyo. Mnapaswa mmuelewe rais siyo mkurupukaji kama jpmNazungumzia kumtoa mtu kwenye madaraka ya uwaziri. Alisubiri mahakama kuamua?? Mbona unajibu kama HAMNAZO!! (Utakuwa shabiki wa yanga wewe) utani tu watani zangu yanga
Nusu ya fedha za wizi zinapelekwa huko!! Mapesa anayohonga honga Abduli source yake ni hiyoKichwa cha habari kimejieleza, kuna jambo lipo nyuma ya pazia HUSSEIN BASHE VS MWIGULU kwanini wanalindwa na Ikulu.
Tulitegemea mpaka sasa Bashe ameondolewa na Mwigulu tupaze sauti kukataa hawa wezi wa taifa.
Mbona za gekul aliamua kwa kufuata shutuma?? Mbona mkuu wa mkoa Simiyu kamtoa kisa shutuma?Amtoe kwa sababu gani. Shutuma za uongo ndo zimtoe uwaziri. Samia hayuko hivyo. Mnapaswa mmuelewe rais siyo mkurupukaji kama jpm
Shutuma zile hazikuwa na chembe ya wasiwasi. Za mpina ni wivu tu hazina hata ushahidi wowoteMbona za gekul aliamua kwa kufuata shutuma?? Mbona mkuu wa mkoa Simiyu kamtoa kisa shutuma?