Sadaka ya ondoleo la dhambi! Umenichekesha haswa. Sadaka inapewa kanisa siyo askofu! Kilaini atasema tu akijaribu kujitakasa japo hatatakasikaPengine ndio maana alihamishiwa porini huko. Yawezekana pia alilipwa kihalali. Sadaka ya ondoleo la dhambi
Mzee wa matukio muhimu...du!! mzee wa vijisent hakosekan
du!! mzee wa vijisent hakosekan
Tuache mambo ya imani, twende kwenye escrow ambayo nilisema ni kokoro. Watu hawana hata aibu wanagawana pesa kwa magunia!
Na baraza la kukodi linaweza kufanya maajabu kwa uchapakazi
Haya ndiyo Muneno! VIVA PAC.
Mkuu soma report ujionee. Mbona report ipo humu download tu uisome. Kila kitu kiko wazi. Hizo list za mtaani ndizo hizo hasa. Kumbuka JF siyo mtaani