Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jambo hili haliwezi kufanyika bila mamlaka ya juu kujua hvyo hata kikwete alibariki hi kitu
haya sasa, wale matutusa wote mliokuwa mnatetea wezi akina FaizaFoxy MwanaDiwani MSALANI mjepo Agogwe Ritz Mamndenyi laki si pesa Queen P Simiyu Yetu et al hebu jitokezeni muendelee kuwatetea. wapuuzi wakubwa!
Movie haijaisha mpaka tusikie upande wa pili, hoja za Zitto zimekaa kishabiki shabiki, mapendekezo pia yamekaa kishabiki, mpaka neno dalali alilotumia Mhongo kwa Mengi limerudiwa kuelekezwa kwa Mhongo.
Yote yanajibika tena kiufasaha kabisa.
Movie haijaisha mpaka tusikie upande wa pili, hoja za Zitto zimekaa kishabiki shabiki, mapendekezo pia yamekaa kishabiki, mpaka neno dalali alilotumia Mhongo kwa Mengi limerudiwa kuelekezwa kwa Mhongo.
Yote yanajibika tena kiufasaha kabisa.
Wanigambila stupid mno,infact actually mazima kwakweli ututake radhi wahaya kwa kupaita Bukoba porini.
Vinginevyo ntamuagiza mtoto wangu Kokuberwa aliyegraduate masters ya sheria nchini Urusi akuburuze mahakamani.
Baba Askofu,rudisha tu hela
ni kweli yametokea,ni ajali tu!!
Rudisha hela uliyopewa na Ruge
Utakua umefanya jambo la maana sana!!
Naona ndoto za Lowassa zikitimia! Hana mpinzani tena CCM!
Damn mamvi!