Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Jamani Chenge aondoke sasa! Dah!
Halafu si ana katoto ka kike huyu kalikua kanamfwata mahakamni kipindi kile aue wale hawara zake kwenye bajaji?
 
mimi kama mwana ccm sina jinsi. kilichobaki ni kuhamia timu lowasa tu. kwani timu zingine zote zimepigwa double cross ya nguvu
 
naye aondoke haiiwezekani malipo hayo yafanyike yeye asiyajue, na ndiyo maana viongozi wake wakiharibu hatengui uteuzi wao mapema,
 
Mimi si mwanasiasa, lakini nilikupenda sana Zito. Hivi karibuni nilianza kupata mashaka na mwenendo wako wa kisiasa. Leo umenisuuza nafsi!! Ahsante Zitto.
 
Jinsi uongozi wa Tanzania unavyoshughulikia masuala ya ufisadi ni ajabu ya aina yake. Kuna mambo mengi makubwa yaliyotokea huko nyuma lakini kumekuwa na ile mentality ya kuyaona kuwa ni upepo tu utapita, mentality ambayo kwa kiasi kikubwa imetokana na JK mwenyewe.

Pengine ni kweli, skando zote za Tanzania ni upepo tu utapita, na hakuna anakaefanya lolote.

Suala la Ndege ya Raisi wa China limekuwa Upepo tu umeshapita. Suala la Wanyama kutoroshwa pale KIA. Suala la Mgomo wa Madaktari. Suala la Fedha za EPA. Suala la wenye mamilioni ya fedha za ufisadi nje ya Nje ya Nchi. Suala la kutekwa, kuteswa au hata kuuwawa kwa waandishi wa habari na raia. Suala la Kukusanya hela kuwahonga Wabunge wapitishe bajeti ya Madini na Nishati, Uuzwaji UDA, Ufisadi Shirika la Reli, Migomo ya Walimu, Ufisadi ATC, nk, nk; yote yalikuwa ni upepo tu ukapita.

Sasa kufuatia mapendekezo yaliyotolewa na Kamati ya Zitto, PAC, kuwatimua na kuwafikisha Mahakamani watu wazito kama kina Pinda, Muhongo, Mboma nk, je, tutashuhudia tena, kama kawaida ya serikali yetu, ile dhana ya kwamba Escrow ni upepo tu utapita?

Yetu Macho.
 
Wakatoliki wote si wezi ila wamewakilishwa na Kilaini na mwenzake
 
Kwanza naona kuwa watu wakuu wakuwabana kurdisha pesa za askrow ni Rugamarila wa VIP na singasinga wa PAP. hawa wengine kama wakina muhogo na wengine ni wazi kabisa rushwa imetembea vibaya lakini wengi wao wamekuwa wajanja katika kuficha jinsi walivyozipokea. Pia kuna wengine labda hata hawakujua kwamba hizo pesa walizopewacni pesa chafu, mfano hawa maaskofu wetu.

Kwa mantiki hii naona viongozi wengi waliohusika katika haya wanapaswa kuwajibika lakini ndio watatokackwenda kula pesa zao tu. Kuwafunga itakuwa ngumu. Kuwadai hawa watu wengine kunawezekana lakini anayepaswa kuwadai ni rugamarilwa.

Mwisho sioni lolote llikifanyika.
 
Movie haijaisha mpaka tusikie upande wa pili, hoja za Zitto zimekaa kishabiki shabiki, mapendekezo pia yamekaa kishabiki, mpaka neno dalali alilotumia Mhongo kwa Mengi limerudiwa kuelekezwa kwa Mhongo.

Yote yanajibika tena kiufasaha kabisa.

Utakuwa una matatizo makubwa sana ambayo ni Muumba wako tu anayeweza kukusaidia bibie. Too low to be say the least.
 
Nimesikiliza report ya kamati ya PAC nimesikia statement ya akaunti ya VIP Engineering iliyopo Mkombozi Bank ilivyotakatisha fedha za Escrow kwa watu mbalimbali
Je fungu la pili lililoenda Stanbic ya PAP kwa Singh lipo wapi?
Ama fedha za Stanbic zipo hazijatakatishwa?
Je zipo salama?
Je kuna waliochotewa viroba? Ni akina nani?
Je kwa hao kamati imetoa mapendekezo gani dhidi yao?
 
Jinsi watu walivyokuwa wakichukua pesa MKOMBOZI BANK

ZimbabDollors3PA_468x628.jpg
 
Movie haijaisha mpaka tusikie upande wa pili, hoja za Zitto zimekaa kishabiki shabiki, mapendekezo pia yamekaa kishabiki, mpaka neno dalali alilotumia Mhongo kwa Mengi limerudiwa kuelekezwa kwa Mhongo.

Yote yanajibika tena kiufasaha kabisa.

Bi Mkubwa uchunguzi umefanywa na Taasisi siyo ZZK, utamuonea bure mzee wa hammer yeye anawakilisha uchunguzi

Isitoshe huo ushahidi wa baruwa, nyaraka na vimemo hawana jeuri ya kuvikwepa

Mbaya zaidi kila kitu nifeki ndiyo maana walitaka kutumia mahakama kuficha maovu yasisomwe yakajulikana.

Wakati mwingine kubari kushindwa.
 
Ha ha haaa kumbe Mtu hawezi kuadhibiwa kwa kupelekwa mjini halikupatikana pori jingine la kumpeleka isipokuwa huo.

wakora waitu

Wanigambila stupid mno,infact actually mazima kwakweli ututake radhi wahaya kwa kupaita Bukoba porini.
Vinginevyo ntamuagiza mtoto wangu Kokuberwa aliyegraduate masters ya sheria nchini Urusi akuburuze mahakamani.
 
Baba Askofu,rudisha tu hela

ni kweli yametokea,ni ajali tu!!

Rudisha hela uliyopewa na Ruge

Utakua umefanya jambo la maana sana!!

kilaini.....sidhani. hujiulizi kila siku kwa nini hapandishwi daraja na kuwa full bishop...miaka yote ni askofu msaidizi.....!!!/?????
 
Naona ndoto za Lowassa zikitimia! Hana mpinzani tena CCM!
Damn mamvi!

naona safari ya matumaini ya bw mamvi sasa imenyooka kutoka monduli hadi magogoni. anachekeleaje!
 
Mwenzio huyo siyo 'mbongo'..anatalii zake huko hadi mambo ya tulie ndipo arudi, hataki hata stress Raisi wangu...What a President!
 
naona mambo si mambo; mihimili ya nchi inatikisika!! jeshi liongoze nchi kwa kipindi kilichobakia :baby::baby:
 
Back
Top Bottom