Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Pengine ndio maana alihamishiwa porini huko. Yawezekana pia alilipwa kihalali. Sadaka ya ondoleo la dhambi
Sadaka ya ondoleo la dhambi! Umenichekesha haswa. Sadaka inapewa kanisa siyo askofu! Kilaini atasema tu akijaribu kujitakasa japo hatatakasika
 
Movie haijaisha mpaka tusikie upande wa pili, hoja za Zitto zimekaa kishabiki shabiki, mapendekezo pia yamekaa kishabiki, mpaka neno dalali alilotumia Mhongo kwa Mengi limerudiwa kuelekezwa kwa Mhongo.

Yote yanajibika tena kiufasaha kabisa.
 
Nakumbuka muhongo alivyoteuliwa alisifiwa hapa!
Dah ama kweli ukizoea kuiba huwez acha
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Afu jf mnajua kutuchanganyia habari, kuna post hpa kuhusu mwanasheria wa tanesco, nyie mumeichanganya na escrow issues
 
Wapo wapi jamaa wa lumumba MSALANI and the likes come pande hizi

Bi Mkubwa FaizaFoxy ukweli umesemwa njoo pande hizi utowe ile maneno yako ya kuhoroja na kuhorojeka mam

Anaogopa nilimpa ahadi kuwa km ripoyi ni nyeupe na haitawajibisha watu anipe adhabu,nikamwambia nitakunya mafungu madogomadogo km1, tena mchana kweupe,ikiwa itakuwa si nyeupe na inasema fedha ni za umma,basi anipe binti yake usiku kucha.FaizaFoxy bring me Your Daughter please!
 
Last edited by a moderator:
Tuache mambo ya imani, twende kwenye escrow ambayo nilisema ni kokoro. Watu hawana hata aibu wanagawana pesa kwa magunia!

Ukweli uko wazi sasa nani jambazi nani c jambazi. Tumemjua tumbili na nani c tumbili.
 
unafiq tu! zzk ni mzalendo tokea hapo huwez mlinganisha na wapiga kelele wengine wasiokuwa na hoja."WANADIS ILA WANAKUBALI KIAINA"by chid benz
 

Hatimaye nimefarijika kiasi.

Hii nchi hatuheshimiani tu la sivyo Pinda,Maswi,Werema,Muhongo,Tibaijuka etc etc wasingekuwa ofisini hadi leo pengine tungekuwa tunafuatilia ni lini kesi zao zitatajwa tena.

Nchi ilikuwa imesimama kwa muda.
 
muumini kumpa pesa mtumishi wa Mungu si jambo geni, kwani ni wangapi ambao tumekuwa tukienda kuwapa misaada viongozi wa dini? hapa naomba tuchunguze kwa umakini au tuwe waangalifu sana katika hili.
 
Ushauri wa kamati ni murwa kabisa. Naunga mkono. Kwa hiyo urais wa mkuu wa nyuki umeota mbawa?
 
Utendaji wa BOT ni mbovu sana hivi ni sheria gani inaruhusu transaction 70 Billions plus kwa siku moja :hatari::hatari::hatari:
 
Back
Top Bottom