kumbe mwalimu...akafundishe huko!
Muhongo ametajwa kwa chuki za kisiasa zinazo chochewa na mkono na mengi kwa kukosa kitaru cha gesi.
tpaul hapo chama cha mapinduzi kimeiba nini? ni watu wenye nia mbaya wanataka kuharibu yale mema nawe unaweza kuwa mmoja waohaya sasa, wale matutusa wote mliokuwa mnatetea wezi akina FaizaFoxy MwanaDiwani MSALANI mjepo Agogwe Ritz Mamndenyi laki si pesa Queen P Simiyu Yetu et al hebu jitokezeni muendelee kuwatetea. wapuuzi wakubwa!
Kajifunze kutofautisha L na R kwanza
niko mtimbwilimbwi hatuna umeme nipe updeti wangu
Wewe Ni mtu pu.mba vu sijawahi kuona. Nikisema mjinga nitakosea.Naam, hakuna umeme wa bure.Ile ripoti inajibika, wala sina shaka nayo.
Hana sababu ya Kujiuzuru,
Makosa ya Muhongo kwenye hiyo report ni Udalali tu, sasa yeye anahusika vipi na maamuzi ya Mahakama, BOT, TISS, HAZINA.?
Hivi kwanini Watanzania tunaangalia kila jambo kihasihasi? Maaskofu ni watu kama Sisi..kuna ushahidi gani kuwa walijua kuwa Fedha hizo sio Mali halali ya Rugemalila? Hivi kama Fedha hizo walizipokea kama mchango wake katika ujenzi wa shule au kabisa..kuna dhambi gani kwa maaskofu hao. I think tunayo moments bila kufikiri kwa akili.
Utakuwa Na malaria kali Sana unamtetea muhongo? Unamuita zitto Na genge lake? Wakuchunguze Kama hujapata hizi fedha zilizoibiwa utakuwa Ni juha namba moja hapa nchini. Kamati ya zitto imefanya kazi iliyokubaliwa Na watanzania zaidi ya asilimia tisini na tisa ukiondoa asilimia moja ya mafisadi Leo unaiita Ni zitto Na genge lake. P.umbavu wewe.
Naam, hakuna umeme wa bure.
Ile ripoti inajibika, wala sina shaka nayo.
Mpaka sasa nasema subiri. Movie haijaisha.
kumbe mwalimu...akafundishe huko!