Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa una matatizo makubwa sana ambayo ni Muumba wako tu anayeweza kukusaidia bibie. Too low to be say the least.
Eti uchunguzi wa CAG unashindwa kubaini kiasi gani ndo hela ya umma wanaishia kusema eti sehemu ya pesa yaweza kuwa ya umma ama kwa overcharging ama kwa kukwepa kodi,ina maana hawana uhakika,sijui sasa walikua wanafanya uchunguzi gani.Walitakiwa wayajibu kwa CAG (na PCCB). Au wataka watuhumiwa nao waandike report kama ya CAG kujibu hoja? Muda wao wa kujitetea ulishapita. Maandishi yanawaua.
Maasikini Benki ya Kanisa langu...
Wanigambila stupid mno,infact actually mazima kwakweli ututake radhi wahaya kwa kupaita Bukoba porini.
Vinginevyo ntamuagiza mtoto wangu Kokuberwa aliyegraduate masters ya sheria nchini Urusi akuburuze mahakamani.
Walitakiwa wayajibu kwa CAG (na PCCB). Au wataka watuhumiwa nao waandike report kama ya CAG kujibu hoja? Muda wao wa kujitetea ulishapita. Maandishi yanawaua.
riport haijaficha kitu wewe unahoji kipi kipya au ndio mnataka kupoteza malengo
Bunge litaendelea kesho, watuhumiwa wamepewa muda wa kujitafakari na kuandika barua za kujiuzuru.
LOWASSA COME BACK.