KipimaPembe
JF-Expert Member
- Aug 5, 2007
- 1,285
- 698
Huyo AG ndo anatakiwa aanze kupanda karandinga la polisi kuwahi keko!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani aibu saaaaana tena dhambi hebu angalieni kwa hao walaji wa fedha za escrow wenzetu waislamu hawapo ila sisi wakristo ndio tumetia aibu jamani
Werema ndiye tumbili, kamata mwizi men, Werema avuliwe ujaji.Jina limemkaa Aliyekuwa jaji Werema na aliyekuwa AG. Tumbili kakamata mwizi.
Then fcuk off
Mkombozi bank walikuwa wanajua hizi ni fedha za deal; no question about it. Stanbic bank walikuwa wanajua hizi ni fedha za deal, no question about it. Ila walijua na pengine wameshagawa fedha kwa mtindo huo mara nyingi, kuwa hakuna sheria yoyote itakayofanya kazi. Tatizo la nchi yetu si kutunga sheria nyingi zaidi na kuongeza vyombo vya utekelezajia. Tatizo letu ni kuwa taasisi ambazo zinatakiwa kuzitumia sheria hawazitumii na hivyo inaonekana kama vile hazitoshi. Tatizo liko kwenye enforcement ya sheria. Waziri mkuu kila siku ilikuwa ni kudanganya kuwa hiyo ni hela ya binafsi akijua wazi kuwa si kweli. Na aende tuuuuu!! Useless.
Mpaka sasa nasema subiri. Movie haijaisha.
Huna lolote wewe....Movie haijaisha mpaka tusikie upande wa pili, hoja za Zitto zimekaa kishabiki shabiki, mapendekezo pia yamekaa kishabiki, mpaka neno dalali alilotumia Mhongo kwa Mengi limerudiwa kuelekezwa kwa Mhongo.
Yote yanajibika tena kiufasaha kabisa.
Mpaka sasa nasema subiri. Movie haijaisha.