You didn't kojoa on bed because of that daydream?I had the most amazing dream today! I dreamt that Yanga was going to win this game, with the final score being 3-2. The winning goal was going to be a fantastic free kick scored on the left side of the goalkeeper.
Yanga anashinda bila kupepesa macho kabisa✅… Hakuna droo wala cha niniKaribuni katika Matchday 5 Kati ya Al Hilal Omdurman' na Yanga katika dimba la Stade de la Capitale lililoko mjini Nouakchott, Mauritania, mechi hii itachezwa saa 4 usiku kwa saa za Africa Mashariki (1900Hours GMT/UTC)
Nini kitatokea katika mechi hii ambayo Yanga anahitaji matokeo ya ushindi zaidi ili ajiweke mguu sawa kutinga Robo fainali ilihali Al Hilal wanahitaji sare kufuzu hatua inayofuata na kuongoza kundi?
Kuwa nami mwanzo, kati hadi mwisho wa mchezo huu..
#TotalEnergiesCAFCL
Kwa Floraa Ibenge, Uto anakaa kwa bao ni zile zile 0-2. Na kwa matokeo hayo, zile ndoto zake za kufika robo fainali zinaishia hapo.Karibuni katika Matchday 5 Kati ya Al Hilal Omdurman' na Yanga katika dimba la Stade de la Capitale lililoko mjini Nouakchott, Mauritania, mechi hii itachezwa saa 4 usiku kwa saa za Africa Mashariki (1900Hours GMT/UTC)
Nini kitatokea katika mechi hii ambayo Yanga anahitaji matokeo ya ushindi zaidi ili ajiweke mguu sawa kutinga Robo fainali ilihali Al Hilal wanahitaji sare kufuzu hatua inayofuata na kuongoza kundi?
Kuwa nami mwanzo, kati hadi mwisho wa mchezo huu..
#TotalEnergiesCAFCL
Wacha uzabizabina kuvamia threads za watu, kitulize huku huku kwenye uzi wako ulioanzishaKaribuni katika Matchday 5 Kati ya Al Hilal Omdurman' na Yanga katika dimba la Stade de la Capitale lililoko mjini Nouakchott, Mauritania, mechi hii itachezwa saa 4 usiku kwa saa za Africa Mashariki (1900Hours GMT/UTC)
Nini kitatokea katika mechi hii ambayo Yanga anahitaji matokeo ya ushindi zaidi ili ajiweke mguu sawa kutinga Robo fainali ilihali Al Hilal wanahitaji sare kufuzu hatua inayofuata na kuongoza kundi?
Kuwa nami mwanzo, kati hadi mwisho wa mchezo huu..
#TotalEnergiesCAFCL
Malizia Mbele daima nyuma kuna mwikoKila la heri Wananchi Young Africans 💚💛
Llilisikika Levi moja likinenaYanga anachapwa fimbo mbili
Tuko hapa mzee wa calculator,usiniangushie hasira zakoLlilisikika Levi moja likinena
Leo limekua la umbeya,?Jamvi la umbea
Saa sita tutakuwa hapa kuwananga.View attachment 3199044
Gusa achia twende kwao FT Yanga SC 4 alhilal 1 tunzeni hii risiti 💚💛💚💚💛
Hongera sana brother!I had the most amazing dream today! I dreamt that Yanga was going to win this game, with the final score being 3-2. The winning goal was going to be a fantastic free kick scored on the left side of the goalkeeper.
Sawa mkuu 😂 😁 😃 😀Saa sita tutakuwa hapa kuwananga.