Bongo wanakuza tuu mambo na misemo calculator ya nini bwana nyie mbona simple kabisa wala hamna shida ya kikokoteo.Mshaanza Mzab. π€£π€£
Yaani tunakoelekea mtatuona watu wa mana sana tunavyotembea na calculator. π
Asiyetaka basi. ππππView attachment 3199044
Gusa achia twende kwao FT Yanga SC 4 alhilal 1 tunzeni hii risiti πππππ
Ndo hapo eti Mzab. ujue nashangaa ugumu uko wapi hapo wakati hesabu ziko wazi kabisa.Bongo wanakuza tuu mambo na misemo calculator ya nini bwana nyie mbona simple kabisa wala hamna shida ya kikokoteo.
Shinda mechi mbili zilizobakia robo mmeingia.
Mie nawatakia ushindi leo ili sasa wikend ijao tukajaa pale nesho tupate burudani maana najua mishangazi ya yanga itajaza uwanjaaaaNdo hapo eti Mzab. ujue nashangaa ugumu uko wapi hapo wakati hesabu ziko wazi kabisa.
Na hapo leo wameshaanza maneno meengi kisa tu wanajua points tatu tunazikwapua.
kabisa dada yanguAsiyetaka basi. ππππ
Ewaaaaa.Mie nawatakia ushindi leo ili sasa wikend ijao tukajaa pale nesho tupate burudani maana najua mishangazi ya yanga itajaza uwanjaaaa
Ni jambo jema.....Me Simba lakini Yanga anashinda hii game
Hii game mtashinda yanga na simba zote zinafuzu robo ,hata kama mtatumia calculator mkuu.Leo Africa nzima itatutambua
Yanga 3
Al hilal 1