Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

Hadi leo msimamo wangu ni uleule, haukuwa uamuzi sahihi.

Maamuzi yalitangazwa hadharani, nami nilisema hadharani na hata sasa nasema Hersi alizingua.

Leo hii tupo kwenye pressure ya kutegemea mechi ya mwisho kwa ajili ya maamuzi yale ya kipumbavu.

Kama kwako/kwenu ulikua uamuzi sahihi ni sawa.
Mawazo yako yaheshimiwe!
Ijapokua mimi binafsi nilishaga Move on...
Kwasababu Gamond asingedumu milele! Lazima angetoka hali kadhalika wachezaji! Ijapokua imeonekana Hersi alifanya maamuzi mabaya ila haina shida hakuna anaeidai Yanga! Hata tukiishia makundi bado sio kesi ni swala la kujipanga mwakani hamna timu haianguki haipo! Madrid pamoja na kuwekeza ila kafa 5 - 2 leo kwa Barca! So ni vitu vya kawaida ni vile hapa bongo tunavikuuuuuuuuuza sana
 
Mawazo yako yaheshimiwe!
Ijapokua mimi binafsi nilishaga Move on...
Kwasababu Gamond asingedumu milele! Lazima angetoka hali kadhalika wachezaji! Ijapokua imeonekana Hersi alifanya maamuzi mabaya ila haina shida hakuna anaeidai Yanga! Hata tukiishia makundi bado sio kesi ni swala la kujipanga mwakani hamna timu haianguki haipo! Madrid pamoja na kuwekeza ila kafa 5 - 2 leo kwa Barca! So ni vitu vya kawaida ni vile hapa bongo tunavikuuuuuuuuuza sana
Kwangu yalishapita my girl wala sijayaleta mimi, naweka mambo sawa tu.
 
Mawazo yako yaheshimiwe!
Ijapokua mimi binafsi nilishaga Move on...
Kwasababu Gamond asingedumu milele! Lazima angetoka hali kadhalika wachezaji! Ijapokua imeonekana Hersi alifanya maamuzi mabaya ila haina shida hakuna anaeidai Yanga! Hata tukiishia makundi bado sio kesi ni swala la kujipanga mwakani hamna timu haianguki haipo! Madrid pamoja na kuwekeza ila kafa 5 - 2 leo kwa Barca! So ni vitu vya kawaida ni vile hapa bongo tunavikuuuuuuuuuza sana
Sisi hatuushii makundi game ya mwisho mtu anakula 5
 
Hadi leo msimamo wangu ni uleule, haukuwa uamuzi sahihi.

Maamuzi yalitangazwa hadharani, nami nilisema hadharani na hata sasa nasema Hersi alizingua.

Leo hii tupo kwenye pressure ya kutegemea mechi ya mwisho kwa ajili ya maamuzi yale ya kipumbavu.

Kama kwako/kwenu ulikua uamuzi sahihi ni sawa.
Gamondi angetushusha daraja mbwa yule
 
IMG-20250112-WA0001.jpg

Ibenge chukua bahasha hyo mtulegezee coz nyie mmeshavuzu
 
Back
Top Bottom