Full Time: Azam FC 1- 4 Yanga SC | Community Shield | Final | Benjamin Mkapa Stadium | 11/08/2024

Hivi Wanajangwani, hivi mnajua kisasi chetu na Azam bado hakijalipwa?

Hawa waliturudisha nyuma sana kwenye CAFCL.

Game iliyofuata ikaishia kwa matuta.

Tunawadai hawa watu ndani ya dakika 90'
Wapigwe kipigo cha Mbwa Koko.
 
Hivi Wanajangwani, hivi mnajua kisasi chetu na Azam bado hakijalipwa?

Hawa waliturudisha nyuma sana kwenye CAFCL.

Game iliyofuata ikaishia kwa matuta.

Tunawadai hawa watu ndani ya dakika 90'
Wapigwe kipigo cha Mbwa Koko.
Wameshaanza kutuzoea zoea mimi hata Lambalamba wakicheza na Simba nashabikia Simba! Walituvunjia wachezaji wetu hawa washenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…