Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Anazingua sana yule jamaaAfu akianzisha uzi wa yanga mechi inakua na mbambamba sana anatutia nuksi huyo mwana5imba πΉ
Baadae usikimbie kakaTupo nao hadi dakika ya mwisho
Nikimbile wapi?Baadae usikimbie kaka
ππππNikimbile wapi?
Afu ile id sijawahi kuiona uzi wowote tena, anaibukaga tu match day saa sita usiku anaanzisha uzi na kusepa πΉπΉAnazingua sana yule jamaa
Mara paaap Vital O inashinda 3 bila.Huyu Msemaji wa Kirundi atakoma
Unakokimbiliaga siku zote πNikimbile wapi?
At what time please let us know. Nime Google, kumbe utachezwa saa 10 jioni safi muda mzuri sana huoMatch Day
Vital'O vs Yanga
#Daimambelenyumamwiko#
Huwezi jua mpira dk 90Huyu Msemaji wa Kirundi atakoma
Tupo mwamwiMsije mkakimbiana hapa mleu...
Sio kwa macho haya haya mawili??Sijui mpira mnauonaje nyie watu
You see football kimahaba sana, you maybe surprisedYanga watawafunga tena si chini ya magoli 5 au 6
Are here?1 people are here