Full Time: CAFCL: Vital'O 0-4 Yanga | Preliminary Stage 1st Leg | Azam Complex | 17.08.2024

siombei mtu bila kupokea sadaka kwa kweli hahahahahaa
Huna sifa za utumishi ikiwa wewe ni mlevi wa alcohol, weed, mtoa vichapo ama mpenda maokoto (sadaka)

1 Tim 3:3
si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu wa kujadiliana, wala asiwe mwenye kupenda fedha;
 
Timu kubwa hazichekiz wkend hiii.
Hizi mechi ni za Vitimu vidogo vidogo. Tena ni fedhea kwa Shabiki kukaa anasifia na kutoa povu kuhusu vimechi uchwara kama hivi. Halafu kuna watu wakikaa wanaamini Timu yao ni kuuubwa kumbe huko CAF level yake ni dizaini ya KenGold au Pamba.
 
Azam imelipiwa hapa ila haionyeshi nifanyaje
 
Timu yako kubwa inacheza lini mkuu🥴
 
Namna hiyo.
 
"Yanga tumepoteza mechi kizembe sana,gamondi sijui anampendea Nini Mzize"
 
Azam imelipiwa hapa ila haionyeshi nifanyaje
Piga huduma kwa wataje watafungua channel hizo 0784108000 au chati nao



Watafungua fasta
 
Quality imeshuka ipo 40% fundi mpaka sasa hajafika😒
 
Kila la kheri chama langu pendwa.
Leo tunaianza safari ya kwenda kuichukua Bilioni 10 zetu, Mungu asimame na sisi mpaka mwisho wa safari yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…