Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naunga mkono hojaHakuna timu ya kutuzuia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaHakuna timu ya kutuzuia
Dah!...bora waingie tu maana ikishindikana kina Magoma watapata upenyo.Kuna Waethiopia wakali hao.
This time kwa aibu kubwa hamwingii group stage.
Propaganda[emoji16][emoji16]Ni wa kawaida ndio cha ajabu ni simba kunyimwa penati tu.
Ni wakati wenu furahia mkuuPropaganda
Timu nzuri inakabika kirahisi sana.Dah!...bora waingie tu maana ikishindikana kina Magoma watapata upenyo.
Ila Wana timu nzuri kwa sasa
Arsenal nao wanatoa dozi[emoji16][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kaka nachukua risiti hizi[emoji23][emoji1787][emoji16][emoji16]
nipo naye hapa, anaomba hela ya panadol.Habari yako mkuu
Hujambo?
Waendelee kuzuia
Unawajua CBE wewe?Hakuna timu ya kutuzuia
Safi mkeka wangu unatiki sasa hivi nikapate supu ya kongoroArsenal nao wanatoa dozi
[emoji1787][emoji23][emoji16][emoji16]Timu utaanza kuiona kesho jombaa
Sisi tumerudi England game kali
Hawana lolote haoUnawajua CBE wewe?
Sema Uto wana advantage kwasababu wanaanzia kwaoHawana lolote hao