Ni kweli, lakini angalia aina ya makosa wanayofanya, sio makosa ya kuzoeana bali makosa ya kutokuwa responsinve.Timu mpya ukimtoa shabalala na karabaka nani mwingine alikuwa akicheza msimu uliopita?
Mdogo mdogo watatuelewa mbonaSimba sasa imejipata chini ya Fad,
Wanacheza mpira level za hali ya juu mnoo.
Safu ya ulinzi ni imara sana hasa Hawa wingsback wanaforce kushambulia had raha.
Kiongo kimeimarika sana kiasi kinarahisisha attacking hasa wakina Mutale na mikwala ni ku weka tu WAAH.
ππππ mbona jamaa hajakosea bro? Mjibu, wanagombea nini hapo uwanjani?Unasikitisha sana
Ina Ahmed Ally Voice!!!!!! Umemsahau Debora.Simba sasa imejipata chini ya Fad,
Wanacheza mpira level za hali ya juu mnoo.
Safu ya ulinzi ni imara sana hasa Hawa wingsback wanaforce kushambulia had raha.
Kiongo kimeimarika sana kiasi kinarahisisha attacking hasa wakina Mutale na mikwala ni ku weka tu WAAH.
Kadi yako ya uyanga ni namba ngapi?Mm YANGA damu ila
Huu mfumo wanaocheza simba ni man city na Liverpool pekee ndyo huchezaga hiviπ₯π₯π₯
Umesharudi Nkasi? Nilikuona pale Mbeya Pazuri siku 1 bro wakati wa 88 au sio wewe?Wazee wa shirikisho mmekutana wenyewe..!!!
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Ulihama Masandawane FC? Ubuntu BothoπππππMm YANGA damu ila
Huu mfumo wanaocheza simba ni man city na Liverpool pekee ndyo huchezaga hiviπ₯π₯π₯
Fungua jicho hilo upate kuonaMimi ni Simba
Ila tunaenda kuaibika Shirikisho sioni hata robo
Raundi ya kwanza au ya awali?Mimi ni Simba
Ila tunaenda kuaibika Shirikisho sioni hata robo
Pamoja na kuwa huu mpango wa TFF sio mzuri ila kuna kitu kinaitwa to return to Communityππππ mbona jamaa hajakosea bro? Mjibu, wanagombea nini hapo uwanjani?
Kwa kikosi cha bilioni 7 huu ni utopolo mkubwa!Simba sasa imejipata chini ya Fad,
Wanacheza mpira level za hali ya juu mnoo.
Safu ya ulinzi ni imara sana hasa Hawa wingsback wanaforce kushambulia had raha.
Kiongo kimeimarika sana kiasi kinarahisisha attacking hasa wakina Mutale na mikwala ni ku weka tu WAAH.
ShirikishoRaundi ya kwanza au ya awali?