Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Watarudisha zote hizoNampendaga Sana Admin WA JF ni Simba damu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watarudisha zote hizoNampendaga Sana Admin WA JF ni Simba damu
Mchezaji asiyebadilika.Huyu Kibabage yupo kutimiza idadi ya wachezaji 11 tu ila msaada wake ni kiduchu sana
Siwezi kutoa je wewe unaweza ukatoa sababu kama unazijua?Unaweza kutoa sababu za Uto kukimbia Chamazi?
Vipi mjerumani adumu milele au arudi kwao?Twende Kwao 🔥🔥🔥
Mwakapenalt Njoon muone namna yakushinda sio kupewa penalt za kuwatoa ICU
Kama jana mlivyobeba maumivu ya jkt😃😃 utasema wao ndio Dodoma jiji
Wewe mbona ulikukutana na Mimi unanipa point tatu mkuuHawa Dodom wakikutana na simba wanakamia mpaka wakifungwa wanalia sana na huwa wanaahidiwa pesa ila wakikutana na utopolo inakua kama na dadaView attachment 3184810
Ngoma drooKama jana tu mwanetu
Imeanza bahasha😅 oh saizi bomu mochwariMilio ya GSM anaharibu ligi itaanza mda si mrefu 😀😃😃😃
angalia pira la kijeruman achana na porojo za Tatu MalogoYanga ya Dodoma Vs Yanga Dar
Bakari Vs Beka
Mohamed Vs Mudi
Abdallah Vs Dulla
🔨🔨🔨Huyu Mzizeeee🙌🙌🙌
Sasa nimeelewa kwanini Watford & Wydad Casablanca walimtaka
hadi hapo tuna milioni 15 za goli la mama. Hivi hata timu hizi ndogo nazo huwa zinagawiwa hela?Gusa achia ⚽️⚽️⚽️
Naona Kuna mwingine yupo kwenye kochi la shemeji yake anatoa milio 😁😄😄😄😄😄😀😃Imeanza bahasha😅 oh saizi bomu mochwari
Tunampa Muda Kwanza 🔥🔥🔥Vipi mjerumani adumu milele au arudi kwao?
galasa linapiga magoli mita 80Mzize ni Galasa.... Mtu akitokea kujipendekeza kulinunua , Liuze fasta Watajuana mbele Kwa mbele , Wewe ushaingiza faida